Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 733
- Thread starter
- #101
Tumefungua uzi wake, tunaomba uje kutuuliza huko tukuelekeze.Utachomaje takataka bila kuleta madhara? Wee kweli Mzee wa madrasa
Kuhusu Tatizo la Uchafu Dar, Madrassatul Abraar tuna wazo litakalokuwa suluhu ya kudumu
Naomba kwanza tumsikilize Mkuu wa Mkoa. Video clips zinachelewa kupanda lakini In shaa Allah tutazipandisha, ni muda tu. Baada ya kumsikiliza mkuu wa mkoa na tatizo la uchafu na biashara kuwa kiholela mitaa ya Dar. AlhamduliLllah Madrassatul Abaraar darasa la vifaa vya ujenzi tumekuja na...
www.jamiiforums.com