Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,965
Wababe wa zamani
nimefurahi kumuona kumbe alicheza Chelsea.George Weah
Ndiye mchezaj pekee kwa Africa hadi sasa kushinda ballon d'Or 1995, mchezaji bora wa Africa mara 2 ,the greatest African player 20 century.
1995 mchezaji bora ulaya ,mchezaji bora wa FIFA ,mchezaji bora wa BBC ,aliorodheshwa kwenye orodha ya wachezaji bora 100 wa FIFA.
Bado tu unataka nyingine kweli
Anaitwa George Wear Liberian by Nation.View attachment 2111886View attachment 2111887View attachment 2111888
hivi huyu mwamba alikujaga kuhusishwa na makundi ya kigaidi ..Ilikuwaje hadi sasa bado anacheza?