The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
- Thread starter
- #141
Chief unataka kusema kidogo kama cha wa VietnamChangu kadogo nikivaa inavuka.cjui itakuwaje chièf!
Chief unataka kusema kidogo kama cha wa VietnamChangu kadogo nikivaa inavuka.cjui itakuwaje chièf!
Will you??Tobaaaa! Nipo jukwaa la funza dume au?
Usisahau kunituma wikiendi hii kwenye nyumba ndogo yako nipeleke hichi kipaseli naye akikiona atafurahi sana[/UOTE]
Acha kumpaisha.... hio kubwa alijenga lini??<!-- google_ad_section_end -->
Ashadii nimekosea kumbe hata kubwa hana kabisa
Aache basi kutembelea club kupata wa kumliwaza kwa weekend
TF bahati mbaya leo nina miadi nae naenda peke yangu sitaki mshirika
Nilikupa cake kipindi kile hukufikisha bana
Chief unataka kusema kidogo kama cha wa Vietnam
Unajua jamaa anazo nyingi sana sasa hadi anasahau ni ipi huwa ananituma kwake kupeleka matumizi naona anaanza kufikiria labda nimeishajimilikisha
Wewe huaminiki
Bora ukipewa pesa utafikisha salama ila sio kutumwa kwa mwanamke utaelezea mpaka shida za kikojoleo chako
Kibamia kimekua kiazi?
Inamana tf ni mngoni?
Shem uwalakini gani tena?
Unajua kiswahili hakina longolongo...lol
Asee.....
Kwamba hujui pete ya uchumba.....hukuchumbia hommie?
Sore kwa kuwaingilia....
Hope hujamaanisha "kimaumbile"
Otherwise: Thread Closed!!
:smash::smash::smash:.
Mie kukwepa tu kujikoroga... nawa quote... Yoote hii sitaki hommie wenu asome hapa....lol
Muangalie shem wangu muharibufu hapa chini....
Thus my kukuomba taratiiiibu... Usim-support ODM....lol... Sasa hapo tell me shemeji yangu kuna longo longo ya uelewa hapo?? lol
Hahahahahah ulijuaje
Angekuwa mchagga hela asingefikisha
Ila TF ukimtuma kwa mwanamke ujue umemkabidhi fisi bucha
Unajua jamaa anazo nyingi sana sasa hadi anasahau ni ipi huwa ananituma kwake kupeleka matumizi naona anaanza kufikiria labda nimeishajimilikisha
Ashadii nimekosea kumbe hata kubwa hana kabisa
Aache basi kutembelea club kupata wa kumliwaza kwa weekend
TF bahati mbaya leo nina miadi nae naenda peke yangu sitaki mshirika
Nilikupa cake kipindi kile hukufikisha bana
Shem, hope hujamaanisha "wa mazingira"Mie kukwepa tu kujikoroga... nawa quote... Yoote hii sitaki hommie wenu asome hapa....lol
Muangalie shem wangu muharibufu hapa chini....
Thus my kukuomba taratiiiibu... Usim-support ODM....lol... Sasa hapo tell me shemeji yangu kuna longo longo ya uelewa hapo?? lol
Wewe shem hujaelewa....ODM aliklarifai tu pale......au wewe unadhani sentensi yangu ilikua nusu? lol
Am out.....kabaila asijenikuta hapa.....
Shem, hope hujamaanisha "wa mazingira"
Otherwise: Discusion Closed!!
:smash::smash::smash:
Haya bwana.ila mie ntume tu mana yangu haipandishi mnara
:washing: iffy!!! iffy!!! iffy!! lol
Mimi hapa niko kuwasoma tu hapa.... Maana na wewe ushaingia list ya PA ya maneno kusema kinyume ya maana. lol
Hahahaha!!! Aisee mkuu hebu omba msamaha kwanzaInamana tf ni mngoni?
Aisee......Hahahahahah ulijuaje
Ila TF ukimtuma kwa mwanamke ujue umemkabidhi fisi bucha
Aisee......
Unatafuta ushahidi au nini