So......Will You????

So......Will You????

Kamata Binamu Tupa kule.......... Kamata Majirani Tupa kule.......Kamata Raumu Tupa kule...... Chukua Rav Foo weka hapa......... kamata mapupu weka hapa...........kamata..........Tusket Malti mimina hapa.....

Vruuuuuuuuuuum kwa mromboo with love!

ijumaa leo ujue
 
Thanks shem........Thanks sana!........... Me too and you know am damn serious...

Sasa kuna mtu kafufua ban nlopigwa kule bana!

Nimeona shem ndo maana ubongo ulikua "buffering mode"

Hii familia mmoja ndio analekea kuzeeka ila kwa jinsi anavyozeeka ni balaa tupu

Nawatafutia dawa yenu....lol

TF weekend imefika uache kutembelea club na nyumba ndogo


Acha kumpaisha.... hio kubwa alijenga lini??
 
RR taraaatiiibu... uki-support kuifunga itakua ina maana unakubaliana na "uwalakini wa maana ya maneno yako" lol

Shem uwalakini gani tena?
Unajua kiswahili hakina longolongo...lol
 
Acha kumpaisha.... hio kubwa alijenga lini??
Unajua jamaa anazo nyingi sana sasa hadi anasahau ni ipi huwa ananituma kwake kupeleka matumizi naona anaanza kufikiria labda nimeishajimilikisha
 
Back
Top Bottom