So......Will You????

So......Will You????

Kaizer stop it!!! Khaa..... lol... (unanitesa love, nimecheka mno leo.....):A S embarassed:

I can't love...I can't....please help....

Hahaha...my comments are reserved...tokea nimeanza kazi mkoloni kanipa barua ya warning kwa kucheka sana nikifukuzwa kazi ni kwasababu ya hii post ya Kaizer

Sii mimi...ila ni TF.....
 
Kuna tangazo, kijana aliyeruka juu
akandosha chini hiyo 'ndom
ndo baba mkwe alikubali amwoe mwanae
nadhani inahusika pia.
 
Hapo mwanamke anakuwa tayari anajua kuwa ndoa hiyo inakuja kumbe mtu mzima unataka sukari ya Mungu
Sugari ya MUNGU inafanya watu wabuni mbinu nyingi, kila wakati helo baby, helo honey, majina matamu-matamu ataitwa binti wa watu na wanajifanya wako serious na kitu ndoa ili wairambe sukari ya MUNGU na wakisha iramba tu wanaanza kujifanya wako bize na mambo ya msingi kwanza. Utasikia niko bize kazini na kadhalika. People bad.
 
Aisee mkuu ilikua mshahara nipewe leo lakini mdosi kaniambia mpaka jumatatu! Nikawa nimeshikwa na hasira sana but you made my day happy kwa hii post! Ngoja niingie baa! Nice everning talk to you letter.
Wadosi banaa
 
Sugari ya MUNGU inafanya watu wabuni mbinu nyingi, kila wakati helo baby, helo honey, majina matamu-matamu ataitwa binti wa watu na wanajifanya wako serious na kitu ndoa ili wairambe sukari ya MUNGU na wakisha iramba tu wanaanza kujifanya wako bize na mambo ya msingi kwanza. Utasikia niko bize kazini na kadhalika. People bad.
Hahaha!!! Eti sukari ya Mungu
 
Khaaaa!!!!
Shem vipi, tayari?

Hahaha!!! Huyo nafikiri hakuna mtu anayemuelewa zaidi kama mimi, muacheni tu huyu mzee amalizie uzee wake..lol
FYI uzee ndo unaanza. Nna kazi sana hapa jamvini.

uzee mwingine waja vibaya
Kamata Binamu Tupa kule.......... Kamata Majirani Tupa kule.......Kamata Raumu Tupa kule...... Chukua Rav Foo weka hapa......... kamata mapupu weka hapa...........kamata..........Tusket Malti mimina hapa.....

Vruuuuuuuuuuum kwa mromboo with love!
 
FYI uzee ndo unaanza. Nna kazi sana hapa jamvini.

Kamata Binamu Tupa kule.......... Kamata Majirani Tupa kule.......Kamata Raumu Tupa kule...... Chukua Rav Foo weka hapa......... kamata mapupu weka hapa...........kamata..........Tusket Malti mimina hapa.....

Vruuuuuuuuuuum kwa mromboo with love!
Kamata uzee tupa kule kamata ujana weka hapa
 
Back
Top Bottom