hayatuhusu. This is your private business
Kama hayakuhusu, kaa kimya, umesoma ya nn?
hayatuhusu. This is your private business
Kwani kipi kisichoeleweka pale unapoambiwa "usije"? Usipende kulazimisha penzi pale ambapo halipo ni kujitafutia majuto yanayoweza kuepukwa kirahisi kabisa. Tia akili kichwani na ushike hamsini zako.
Kwa mara ya kwanza BAK kawa mkali...te te te
Kuna watu wanatia hasira badala ya huruma...
lol!!!! hahahahahah Kumbe huingii kule jukwaa la siasa eeh!!!! Haya bhanaaa..
Siasani naingia labda mara moja kwa mwaka...maisha mfupi sitaki kukaribisha pressure...
Acha kunifiksi swaibaaaa.
Umeniskia?
Kukufix kivipi tena swahibaaaa
Yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana, maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu, saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
Fikiria una mtu wako mko mbalimbali, umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli, unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi.
Hivi jamani ni nini hiki?
Ndio hivyo kuna watu wamezaliwa kuumiza wenzao!!!ukimpenda tuu anaanza kukupandia bei kama kipande cha dhahabu!!!pole sana IPO cku atakuja jjua thamani yako lkn wakati huo ye ndo atakuwa kachelewa!
Tafuta replacement afu umteme huyo