Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo
nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria,
nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda
dear
.........
Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni
penzi nadhifu hilo lazima ujue, Walasi penzi
la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi lainsaaf
nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako
nitayarikufa,kama kupenda maradhidawa kwako
natafuta, kama kupenda bahati mwenzako
naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab
Na wala sitampa mwengine anayefanana na wewe
........................................
UPENDO si ndege ukaonekana angani,
UPENDO si tunda lichumwalo mtini,
UPENDO si wimbo ningekuimbia,
UPENDO si vazi ningekushonea,
UPENDO si picha yangu
ningekutumia bali
UPENDO ni thamani iliyoko
moyoni mwangu.
nakupenda na nakutakia
usku mwema.
.......................
salaam ni
1,nuru humfariji aliye na huzuni
2 ni jahazi huvusha aliye ng'ambo
3,pia ni nuru huangaza gizani,
wewe ni lulu yangu nakupenda xana,
......................
"Umbali si shari ila kujua hali ni mali",
"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali",
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
................................
Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua,
ila napenda jinsi anavyo CORDINATEna wa2,
nafurah kwa kuwa naongea nae SIMULTANEOUSLY,
ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua
kuwa nampenda yaan nahic kama niko
kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza
lakin is very long MATRIX .
Nafikir
ushamjua kwan shep yake ni SIMPLEPOLYGON
namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea
...............................
Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,
sababu we ndo wangu kipenZ,
na sina mwengine lahazz.
..............................
wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,
hakika n/penda, kwa mwengine sitokwendaaa....!!!
...........................
Nashndwa kulala haja ya moyo wng
naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua
...................................
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako,
utawaliwe na
usingizi wa mahaba kwenye kope zako,
naomba
ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
Usisahau kuniota
sweet wangu. USIKU MWEMA
......................
Asali wa moyo wangu,
fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba
mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba,
jua linaweza kusimama,
lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie,
nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu,
njooo mwandani wangu
nakusubiri daktari wangu.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ?
Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo,
ndugu zako wanaotugombanisha
na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi.
Mapenzi yetu yadumu daima.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
"Umbali si shari ila kujua hali ni mali",
"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali",
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
.....................................
Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda
jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa naongea
nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION
atajua kuwa nampenda yaan nahic kama niko kwny CIRCLE
kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX .
Nafikir ushamjua kwan shep yake
ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!!
Chezea
................................