SMS za mwizi

SMS za mwizi

Epic fail!

Yours was incoherent, fraught with tautologies and had grammatically incorrect errors



First of all, Mickey D's is not a "shop". It's a restaurant.

Second of all, recent basically means new, so you really can't have them both in one sentence like you had them.

Third of all, what is "just started new"?

And fourth of all, the words 'fast food' shouldn't have been in uppercase letters, you dingleberry.

You make no sense whatsoever. Jackass is your middle name.

recent basically means new =

There is a punctuation mark separating the two words/phrases,you need to know the essence of punctuation marks in a sentence, for one. On the second thought, you are absolutely right, they are fast food restaurant chains and not shops. Sometimes you act smarter, good guy.
 
recent basically means new =

There is a punctuation mark separating the two words/phrases,you need to know the essence of punctuation marks in a sentence, for one. On the second thought, you are absolutely right, they are fast food restaurant chains and not shops. Sometimes you act smarter, good guy.

See how dumb and stupid you are? McDonald's as a corporation is a single entity that operates a chain (not chains) of fast food hamburger restaurants around the world.

Therefore, those restaurants around the world form the chain and not 'chains' as you wrongly, albeit unbeknownst, put it.
 
Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda?
Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni
mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa
nakupenda, niamini mpenzi
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni
siri ya maisha matamu
nakupenda mpenzi
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda
kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"
nakupenda laazizi
"Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati
mawazo yangu
yangekuwa juu yako,nisingefikiri wakumpa mwingine kabla
yako je wewe ungekuwepo nayo
ungempa nani kwanza? "
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na
likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu
Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi
mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo
Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 
naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua
nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu
ili
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako
mpenzi.nakupenda sana laazizi
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia
moyoni mwangu
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi si pombe lkn yanalewesha,wala si kidonda lakini
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa
unaempenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda
pilipili kwa muwasho wake,wenginehupenda asali kwa utamu
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimetuma ndege wangu auzunguke''moyo'' wako kwa '' upendo
'' auguse ''uso'' wako kwa ''faraja'' na mwisho
akunong'oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni
zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza
kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo
wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi
haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane
badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku
wakigombana wataachana.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharani
nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa
yakini.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua
furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu
nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu
tabibu ,we ndo wangu wa manani.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kila niamkapo mawazo yangu huwakwako na upepo uvumapo
huhitaji uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato
lako,nakupenda mpenzi
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni
yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea
kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na
karaha za huu ulimwengu.nakupenda dia
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
>>--------->>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk
maisha yangu na kama umekutana nao
usiukwepe uache
uchome Moyo wako gharama
za matibabu juu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi
unayonipatia,
moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
kukupatia nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona
kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi
lako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nina habari nzuri nataka kukuambiakuna mgeni leo kaja
kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa
sasa siwezi kukupatia
kwa maana mgeni kashakuharibia
nakupenda dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ni yangu mazoea kila cku cm yako
kuipokea kama si meseji
kunitumia
leo naumia kila napo fikiria nini
kimetokea hadi
mawasiliano yetu
yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali
ya kawida itarejea
na
majonzi moyoni yatanipotea
nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimezunguka pande zote za Tanzania macho
nikiyaangaza
kumsaka mrembo
wakumkabidhi wangu moyo wenyeupendo
ndani yake na kulila
TUNDA lake
kwa nafasi huku nikimpa mahaba yadhati na sikuwahi kuhisi
kama wewe ndiye
ulie uteka moyo wangu.
nakupenda laaziz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Raha ya ucngz ni ucngz . . ..''tamu''ya penzi ni ndoto .
Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi
nikiwa mimi,
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute
nakupenda mpz moyoni mwako unitulize.
Nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda
mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta
amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong'oneze mwambie
nampenda sanaaaa
Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati
,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi
kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama
ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi
milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 
Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo
nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria,
nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda
dear
.........
Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni
penzi nadhifu hilo lazima ujue, Walasi penzi
la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi lainsaaf
nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako
nitayarikufa,kama kupenda maradhidawa kwako
natafuta, kama kupenda bahati mwenzako
naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab
Na wala sitampa mwengine anayefanana na wewe
........................................
UPENDO si ndege ukaonekana angani,
UPENDO si tunda lichumwalo mtini,
UPENDO si wimbo ningekuimbia,
UPENDO si vazi ningekushonea,
UPENDO si picha yangu
ningekutumia bali
UPENDO ni thamani iliyoko
moyoni mwangu.
nakupenda na nakutakia
usku mwema.
.......................
salaam ni
1,nuru humfariji aliye na huzuni
2 ni jahazi huvusha aliye ng'ambo
3,pia ni nuru huangaza gizani,
wewe ni lulu yangu nakupenda xana,
......................
"Umbali si shari ila kujua hali ni mali",
"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali",
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
................................
Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua,
ila napenda jinsi anavyo CORDINATEna wa2,
nafurah kwa kuwa naongea nae SIMULTANEOUSLY,
ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua
kuwa nampenda yaan nahic kama niko
kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza
lakin is very long MATRIX .
Nafikir
ushamjua kwan shep yake ni SIMPLEPOLYGON
namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea
...............................
Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,
sababu we ndo wangu kipenZ,
na sina mwengine lahazz.
..............................
wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,
hakika n/penda, kwa mwengine sitokwendaaa....!!!
...........................
Nashndwa kulala haja ya moyo wng
naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua
...................................
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako,
utawaliwe na
usingizi wa mahaba kwenye kope zako,
naomba
ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
Usisahau kuniota
sweet wangu. USIKU MWEMA
......................
Asali wa moyo wangu,
fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba
mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba,
jua linaweza kusimama,
lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie,
nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu,
njooo mwandani wangu
nakusubiri daktari wangu.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ?
Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo,
ndugu zako wanaotugombanisha
na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi.
Mapenzi yetu yadumu daima.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
"Umbali si shari ila kujua hali ni mali",
"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali",
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
.....................................
Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda
jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa naongea
nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION
atajua kuwa nampenda yaan nahic kama niko kwny CIRCLE
kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX .
Nafikir ushamjua kwan shep yake
ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!!
Chezea
................................
 
Konnie, wewe ndio unanifanya nile.

Kweli bila mimi hali? Naibiwa mchana kweupe.
 
See how dumb and stupid you are? McDonald's as a corporation is a single entity that operates a chain (not chains) of fast food hamburger restaurants around the world.

Therefore, those restaurants around the world form the chain and not 'chains' as you wrongly, albeit unbeknownst, put it.

Noted. I know these are the only news your mind appear to appeal, and that are likely to be smart at
 
Mzima Bobbie. Mbona wewe humwagi zako hapa?
au ni magic bullet unaiwekea big occasions?

Wala mi kwangu Logic na reason zinatangulia mengine!
Mwenyewe unaangalia ule ulalo wa kuchinjwa!

Za siku vp?
 
If u wanna know how much I miss u,
If u wanna know how much I miss u,
try to catch rain drops,
the ones u catch is how much u miss me,
and the ones u miss is how much I miss
 
You are my bodaboda, wherever i go i found you
Oh ! Your love control killing me softly
Your sweet talk speed keeps me high

.........Dedication to Kaunga..........
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
Hyo ya my bodaboda sounds sexy... (#BadGirl)
 
You are my bodaboda, wherever i go i found you
Oh ! Your love control killing me softly
Your sweet talk speed keeps me high

.........Dedication to Kaunga..........
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif

mmmh, yaani mimi ndio libodaboda lako ambalo unalipanda ukiwa na haraka tu; haya bwana!
 
Hahahaha huyo kisses zake zinaleta gout! Curled toes!!!
Sio curl ya hivi dear,
300_42963.jpg



ni ile curl kwanza zinakaa kama fan, then zinajikunja hiviiiiii!
oh my, just thinking about it and I want to go baack there

flat,550x550,075,f.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom