SMS za mwizi

SMS za mwizi

Mwe! Kiinglish kigumu embu tupieni na za Kiswahili wenzenu tupate mashairi.

Hapa ni baada ya jamaa kuzungushwa kwa muda mrefu, keshahonga za kutoshaa lakini wapi, so anapiga mkwara wa mwisho mwisho kuokoa jahazi:

"Najiuliza kila leo hivi mie nimekuwa kimeo wa dunia hii ya leo b'se kila nayempata huishia kunipa ahadi luluki. Mpenzi kila siku waniaidi mara nitakupa leo mara wiki ijayo, hivi ni lini utanipa jibu la uhakika nakunipa mapenzi ya uhakika nipate farijika? Hakyanani bado nakupenda vile ila kama hunipendi bora uache kunilia vyangu."

Demu anamjibu jamaa:

"Sijui nikueleze namna gani uelewe yaliyionijaa moyoni kwani kila nifikiriapo kwa nini una walakini na hutaki kuniamini kama wewe pekee ndiye ninayekupa mahaba yangu makini, mpenzi rudisha yako imani ni wewe pekee nayekupenda hapa duniani."

Wote hawa wawili wezi watupu!
 
We ndo unatokea kimachale sana siku hizi! Tena hapo kati ndo ulikua hutokei kabisa! ulikua wap? au nje kikazi kama MN?!
No, hapa nilipo hakuna data on mobile. Kwa hiyo internet ni saa za kazi tu
Na kazi yenyewe ngumuuuu, inaomba all my attention, so only during breaks
 
No, hapa nilipo hakuna data on mobile. Kwa hiyo internet ni saa za kazi tu
Na kazi yenyewe ngumuuuu, inaomba all my attention, so only during breaks

inabidi uweke, nilizoea kukuona kwa wingi humu ndani! Mwisho wa mwezi si ndio huu,ama!!?:rapture:
 
Hapa ni baada ya jamaa kuzungushwa kwa muda mrefu, keshahonga za kutoshaa lakini wapi, so anapiga mkwara wa mwisho mwisho kuokoa jahazi:

"Najiuliza kila leo hivi mie nimekuwa kimeo wa dunia hii ya leo b'se kila nayempata huishia kunipa ahadi luluki. Mpenzi kila siku waniaidi mara nitakupa leo mara wiki ijayo, hivi ni lini utanipa jibu la uhakika nakunipa mapenzi ya uhakika nipate farijika? Hakyanani bado nakupenda vile ila kama hunipendi bora uache kunilia vyangu."

Demu anamjibu jamaa:

"Sijui nikueleze namna gani uelewe yaliyionijaa moyoni kwani kila nifikiriapo kwa nini una walakini na hutaki kuniamini kama wewe pekee ndiye ninayekupa mahaba yangu makini, mpenzi rudisha yako imani ni wewe pekee nayekupenda hapa duniani."

Wote hawa wawili wezi watupu!

Hahahahahaha.... EMT hiyo ya mkaka alivomalizia nmecheka sana lol!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Hapa ni baada ya jamaa kuzungushwa kwa muda mrefu, keshahonga za kutoshaa lakini wapi, so anapiga mkwara wa mwisho mwisho kuokoa jahazi:"Najiuliza kila leo hivi mie nimekuwa kimeo wa dunia hii ya leo b'se kila nayempata huishia kunipa ahadi luluki. Mpenzi kila siku waniaidi mara nitakupa leo mara wiki ijayo, hivi ni lini utanipa jibu la uhakika nakunipa mapenzi ya uhakika nipate farijika? Hakyanani bado nakupenda vile ila kama hunipendi bora uache kunilia vyangu." Demu anamjibu jamaa:"Sijui nikueleze namna gani uelewe yaliyionijaa moyoni kwani kila nifikiriapo kwa nini una walakini na hutaki kuniamini kama wewe pekee ndiye ninayekupa mahaba yangu makini, mpenzi rudisha yako imani ni wewe pekee nayekupenda hapa duniani."Wote hawa wawili wezi watupu!
Yaan ni Uwizi mtupu! lol
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hapa ni baada ya jamaa kuzungushwa kwa muda mrefu, keshahonga za kutoshaa lakini wapi, so anapiga mkwara wa mwisho mwisho kuokoa jahazi:

"Najiuliza kila leo hivi mie nimekuwa kimeo wa dunia hii
ya leo b'se kila nayempata huishia kunipa ahadi luluki.
Mpenzi kila siku waniaidi mara nitakupa leo mara wiki ijayo,
hivi ni lini utanipa jibu la uhakika nakunipa mapenzi ya uhakika nipate farijika?
Hakyanani bado nakupenda vile ila kama hunipendi bora uache kunilia vyangu."

Demu anamjibu jamaa:

"Sijui nikueleze namna gani uelewe yaliyionijaa moyoni
kwani kila nifikiriapo kwa nini una walakini na hutaki kuniamini
kama wewe pekee ndiye ninayekupa mahaba yangu makini,
mpenzi rudisha yako imani ni wewe pekee nayekupenda hapa duniani."



Wote hawa wawili wezi watupu!
Huyu wa pili ndie mwizi mkubwa maana amepanga uongowake in rhymes!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tangopori Kaka Nimekupendaje?? Aisee umetisha@Tangopori uko juuu! Halafu nikwambie kitu sms zako hizi ni very mashiko zimenipandishia P ile mbaya,nakamataje?nimeselect mbili tatu wacha duh! Zimeleta positive results,jaman hiz sms si tu kwa singles hata married zitumieni mtaona matokeo yake,hahahaaaaa JF raha sana!
 
Last edited by a moderator:
"Baby when you're not online it's like there's no Internet connection"... whatsapp status with my picture...
 
Hahaha duh. Mtoto mwizi wewe kushinda aunt yako!
Im missing my Paw, i need a distraction. Ngoja nimtumie maverse kwanza.
Sio curl ya hivi dear,
300_42963.jpg



ni ile curl kwanza zinakaa kama fan, then zinajikunja hiviiiiii!
oh my, just thinking about it and I want to go baack there

flat,550x550,075,f.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Paw

Similar Discussions

Back
Top Bottom