Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 743
Kwa nini huyo kalokiro insider ameamua kutoa ujumbe huu kupitia kwa watu wengine badala ya security organs?
Kwa nini ameutoa ujumbe huu sasa hivi na si kabla 'sumu' haijaingizwa?
Kuna watu wana utamaduni wa kusalimiana wakiwa wamevaa gloves tanzania?
Mimi nawashangaa ninyi mnaoshangaa hizi habari za kueliminate watu kwa sumu au njia nyingine zozote zile. Mafisadi ni mafioso na watu waovu sana. Kwa uovu wao lolote linawezekana.
SteveD,
Nadhani tuna work on assumption hapa. Wewe umejuaje kama UWT hawajaifanyia kazi hii sms (kama ipo) Lakini kubwa zaidi haya ni mambo ya ki usalama zaidi tusitegemee taarifa za undani namna wanavyo trace (if traceable) hizo msg.
By the way hiyo picha ya Brazemeni inafanya nini hapo kwenye avatar yako?
Ni ngumu sana kujua nani anatumia namba ya simu Bongo.....believe me......bongo watu hawana address ila kama mtu katuma toka nje basi kumjua ni rahisi sana......... wazembe tu uwt, yaani kumtrace mtu anayetuma msg kama hizo wameshindwa nini?!
.... hata kama anatuma kutokea nje ya nchi kwa kutumia mtandao, bado anaweza kuwa traced. ni kutokuwa tu wajanja na watafiti wa mambo. na wanavyozidi kulaza damu ndiyo vitisho kama hivyo vitaongezeka na itafika wakati vitisho vya kweli vinafanyika na maovu kushindwa kuzuilika hali tahadhari zilishatolewa.
.... this is some sort of cyber bullying and need to be stopped. punguzeni misafara isiyo na maana nje ya nchi inayo cost taifa mamilioni ya kodi za wananchi mu-invest kwenye tools za ku-track wapuuzi wa message kama hizo.
nilienda kwenye mitandao yote, jibu walilonipa ni kuwa ,wanaweza kumpata mpigaji wa hiyo namba, shart ni lazima polisi wahusishwe na wao ndo wataweza kupewa hiyo information
mnamo tarehe 4,may, 2007, nilipata simu ya vitisho toka kwenye private number, na ilinionya kutoingilia mambo fulani au kumwaga hapa ni kuwa, kijijini kwetu kuna mkataba wa kifisadi unaomlinda mwekezaji mmoja feki, huyu anaendesha hoteli nzuri ambayo kijiji au chama chetu cha ushirika kiliachiwa na ma-settler waliokimbia , mwekezaji huyu amegeuka mbogo hajalipa kodi ya jengo kwa muda wa miaka 12, zaidi ya dola 123,ooo
kila swala hili likianza, viongozi wote wanaopokea hili tatizo wanakatiwa wanaingia mitini. mbaya zaidi waziri mmoja anamsaidia mwekezaji huyu apewe hati eneo hilo na mali za ushirika.
kwa kuwa tulikuwa kimbelembele ndo yakanikuta hayo ya kupigiwa simu ya na kuahidiwa kutwangwa risasi
nilienda kwenye mitandao yote, jibu walilonipa ni kuwa ,wanaweza kumpata mpigaji wa hiyo namba, shart ni lazima polisi wahusishwe na wao ndo wataweza kupewa hiyo information,
ni mwaka sasa na hakuna hatua yeyote, nilikanyaga polisi mpaka nikachoka, nikatoa elfu tano tano za vocha mpaka nikachoka
mwishoni, nikapeleka swala hili na details zote, yule niliyempelekea badala ya kufanya uchunguzi dhidi ya mwekezaji, yeye alienda kwake kuanzisha uswahiba! mpoooo
Masatu, critical msgs to cellular phones are traceable. usalama wa taifa unahusiana pia na usalama wa hofu za raia. if they've dealt with it, then let the masses know kwa kutangaza kwenye vyombo vya habari kuwa wamemshughulikia mzushi huyo kuliko kuacha this fad get out of control.
Habari za uzushi au ukweli kuhusu kulipuka mabomu, mafua ya ndege, na magonjwa mengine ya mlipuko falls in the same category na hizi phenomenon za uzushi kwenye mitandao. Wananchi inabidi wapewe taarifa za kuzipuuzia au kujihadhari.
Let's inform the nation na siyo kuwaachia tu wakinaMkjj watangaze hapa JF ndiyo tuchukue tahadhari au kupuuzia. Remember usalama wa Taifa ni usalama wa Raia pia.
....picha hiyo kwenye avatar ni mimi, brazameni ninafanana naye tu na tulisoma shule moja, ni mtoto wa mtoto wa mtoto wake 🙂
SteveD.
...kaka, chunga usije ambiwa kuwa you are soliciting suicide!!Mkuu Mwikimbi,
Mbona bado unatesa tu mkuu, au bado wanatafuta risasi za kukutwanga nazo? Au ndio uliogopa na hukumwaga siri tena? Kuna watu wanajua Watanzania tumezidi uwoga na wanatumia weakness hiyo kutishia watu.
Hivi kama tunaogopa vifo hivyo, mbona tuna take risk kirahisi kwenye ukimwi? Kwa mimi afadhali mtu anitwange risasi kuliko kusumbuana na ugonjwa miaka na miaka.
sizani kama wanaweza mtrace.
mfano kila akituma sms anachomoa simu kadi anaitupa ama anaizima simu kabisa maana kazi ya simu hiyo ni mambo hayo tu.Na akitaka kutuma sms mfano yeye anaishi mbezi anaenda moro ndio anaifungua simu dakika moja anatuma sms anachomoa kadi anaitupa na anazima simu anarudi kwake mbezi.
Mimi nafikiri kazi hiyo kwa serikali yetu ni sawa na sisimizi kumlaumu mbona hawezi kubeba kisoda cha maji?? Na kumuita sisimizi huyo mzembe.
...kaka, chunga usije ambiwa kuwa you are soliciting suicide!!
Mkamap, no disrespect, lakini hiyo ya kutupa simu au kwenda pahali remote kupiga simu ndiyo unaona ni njia murua ya kujificha ukitaka kutuma text za namna hiyo?!.... ndugu yangu ukitaka kujua hiyo ni kinga au siyo kinga jaribu kutuma text ya kulipua bomu ubalozi wa marekani kwa mlinzi au ofisa mmoja halafu kwa bahati mbaya itokee kuwa ubalozi huo unalipuka. Osama kule kwenye mapango yake kule Tora Bora ndiyo maana hatumii au alikuwa hatumii electronic messaging.sizani kama wanaweza mtrace.
mfano kila akituma sms anachomoa simu kadi anaitupa ama anaizima simu kabisa maana kazi ya simu hiyo ni mambo hayo tu.Na akitaka kutuma sms mfano yeye anaishi mbezi anaenda moro ndio anaifungua simu dakika moja anatuma sms anachomoa kadi anaitupa na anazima simu anarudi kwake mbezi.
Mimi nafikiri kazi hiyo kwa serikali yetu ni sawa na sisimizi kumlaumu mbona hawezi kubeba kisoda cha maji?? Na kumuita sisimizi huyo mzembe.
Jasusi,
Wape hao mafioso anuani yangu kama wanatafuta mtu wa kuua. Mimi siwaogopi kabisa!
Tutaanza hata kukimbia vivuli vyetu.
Unajua huu woga ndio unawafanya hata watu washindwe kutoa taarifa juu ya uhalifu.
Ogopa kifo kinachotokana na kutenda maovu, lakini kufa unatetea haki? Sioni ubaya wake kabisa.
Mkamap, no disrespect, lakini hiyo ya kutupa simu au kwenda pahali remote kupiga simu ndiyo unaona ni njia murua ya kujificha ukitaka kutuma text za namna hiyo?!.... ndugu yangu ukitaka kujua hiyo ni kinga au siyo kinga jaribu kutuma text ya kulipua bomu ubalozi wa marekani kwa mlinzi au ofisa mmoja halafu kwa bahati mbaya itokee kuwa ubalozi huo unalipuka. Osama kule kwenye mapango yake kule Tora Bora ndiyo maana hatumii au alikuwa hatumii electronic messaging.
Mwanakijiji u bigger than this pls spare us we have enough in our plate au na wewe umeingia kwenye mkumbo wa kututoa kwenye ajenda muhimu (EPA, Richmond, etc) jamani tupunguze mizaha ya kuokota okota udaku na kumwaga hapa.
Pole sana kamanda, na kama kamanda unakatishwa usingizini na sms kama hizi tuna kazi kubwa mbeleni...........