Smartphones Power Bank for only tshs 35,000/=

Smartphones Power Bank for only tshs 35,000/=

Dar unakuja lini ili nikutafute kwa kutumia namba yako? Au nielekeze ofisi yako ilipo kinondon sehemu gani
 
Pamoja sana kiongozi;

ImageUploadedByJamiiForums1390039005.263328.jpg
Na printer yetu ni hii hapo. Tuchekiane Pm sasa kazi yako nimemaliza. Zamu ya Josiah sasa kumchekia mali zake
 
Nadhani umeshaona soko ni kubwa hivyo uje na mzigo wa uwakika ili tusije kukosa
 
Josiah nimezunguka sana huku pia hizi Lumia 1320 bado expensive sana. Ni kama 1.5 sijui bei ya TZ ni kiasi gani

Niliipenda hiyo kwasababu ya betri yake lakini kwa sababu kuna hiyo power bank ya mAh13000 itasaidia .
 
Habari wakuu,
Leo kuna mali mpya, kutokana na smartphone kuishiwa charge haraka mkombozi kapatikana nae ni Power Bank yenye 5600 mAh inatunza umeme 72 hours. Mali ni mpya na box lake(unused).

Bei: tshs 35,000/=
no ya simu mkuu ili nkucheki hewani
 
mi nazitaka but cjui nakupataje, niko dar ila sion no yk ya simu, nambie ntaipataje
 
Back
Top Bottom