Habari wakuu,
Leo kuna mali mpya, kutokana na smartphone kuishiwa charge haraka mkombozi kapatikana nae ni Power Bank yenye 5600 mAh inatunza umeme 72 hours. Mali ni mpya na box lake(unused).
Bei: tshs 35,000/=
Ofisi ni kinondoni studio. Namba yangu ni 0655003510
agizeni kitu puku ndo power bank that is trending right now, halafu on top of that imetengenezwa na mtanzania so utakuwa una'support kazi ya nyumbani
J4 moudy.
Nakumbuka Josiah. Nakumbuka sana, am on it.
Sijakuelewa mkuu hebu eweke vizuri.
ni phone charger ambayo iko portable kutembea nayo so zipo brand tofauti tofauti mojawapo nii hii iliyofanyiwa tangazo kwenye thread
Nyingne ni hii Puku ambayo imetengenezwa na mtanzania. Watu maarufu wengi hapa Tanzania wameanza kuagiza.
Cheki hapa chini Mustaffa Hassanali akiitumia.