Habari wakuu,
Leo kuna mali mpya, kutokana na smartphone kuishiwa charge haraka mkombozi kapatikana nae ni Power Bank yenye 5600 mAh inatunza umeme 72 hours. Mali ni mpya na box lake(unused).
Bei: tshs 35,000/=
Habari wakuu,
Leo kuna mali mpya, kutokana na smartphone kuishiwa charge haraka mkombozi kapatikana nae ni Power Bank yenye 5600 mAh inatunza umeme 72 hours. Mali ni mpya na box lake(unused).
Bei: tshs 35,000/=
Ni bland gan, ni pm nikupe 25,000 kama itakuwa known bland.
Hapana kwa 25 hainilipi boss, hiyo bei nimetoa hapo ni reasonable sana compared na bei za wahindi mjini.
Ntakupa kwa 34,000/= kwasababu mimi sijapewa bure, niko nafunga mzigo wa dukani.