Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,736
- 39,838
hapo Labda galaxy j1, ila sio simu nzuri kivile.
angalia simu kama hizi kama utazipata.
-Huawei p8 lite
-Galaxy j5
hata kama ni used zipo condition nzuri, utaenjoy kuliko kununua mpya za bei hizo, nyingi zina ram.ndogo na cpu dhaifu.