soma hapa ni thread ya zamani na imepitwa na wakati kidogo ila utapata idea
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...725-windows-phone-vs-android-niende-wapi.html
ukienda android utapata games nyingi ila simu ya bei rahisi haitaweza kurun games zote, wakati windows phone utapata games chache ila utaweza kuziplay zote.
kama utaweza ongeza budget kidogo na kuchukua simu ya snapdragon 410 kama moto e ya 2015 na huawei y550 au nyengine yenye hio processor basi ni vizuri kwenda android. otherwise chukua hio lumia then nunua memory card kubwa install games zako kwenye memory card
huawei y550 ni bei gani kwa hapa bongo ?
kuna baadhi ya thread humu watu wanasema 250,000 ila mi sijaziona
Ninavyofahamu hiyo bei ni kwa y530
sony experia L itakufaa kwa bei hio
naomba unisaidie simu ya line 2 dual sim yenye ubora smartphone android isizidi laki 5. Napendelea sana huawei na nokia hata kama kuna aina nyingine poa.
naomba unisaidie simu ya line 2 dual sim yenye ubora smartphone android isizidi laki 5. Napendelea sana huawei na nokia hata kama kuna aina nyingine poa.
Mkuu taja hizo brand tafadhaliWaweza kuni PM pia kuna smartphones nzuri sana Chinese brands, bei kuanzia 250000 Quad core,2 lines,two camera etc.
huawei p8 lite tafuta, japo haikai sana na charge ila vitu vyengine ipo vizuri sana kama camera, cpu, ram etc
kuna huawei y6 pro kwa 250,000
huawei p8 lite tafuta, japo haikai sana na charge ila vitu vyengine ipo vizuri sana kama camera, cpu, ram etc
kama charge ni priority tafuta redmi 3 au redmi 4 za xiaomi ila hii ni mpaka kuagizia, kenya zinapatikana na wapo wadau humu pia wanaagizishia.
hio y6 pro aliokutajia jamaa hapo juu kama utaipata kwa bei hio itafaa, inakaa na charge lakini perfomance yake na matumizi kwa ujumla yatakuwa sio mazuri kama hizi nilizokutajia.Shukrani mkuu, simu za kuagiza huwa zinanishinda. Je kuna option nyingine tofauti ya Huawei make napenda simu inayotunza charge sana.
hio y6 pro aliokutajia jamaa hapo juu kama utaipata kwa bei hio itafaa, inakaa na charge lakini perfomance yake na matumizi kwa ujumla yatakuwa sio mazuri kama hizi nilizokutajia.
Mkuu ninayo hii Redmi note 3.....2gb ram,16gb rom....rangi ya silver sema naona bei haitaangukia kwenye budget yako...kama unaweza kuongeza ni pmShukrani mkuu, simu za kuagiza huwa zinanishinda. Je kuna option nyingine tofauti ya Huawei make napenda simu inayotunza charge sana.
Wadau nina laki na nusu naweza pata simu gani mi napenda kuangalia movies on line kama mtu ana used pia poa