Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,219
- 1,785
Ndugu, wapi naweza pata Lumia 535/540/550 kwa bei nafuu??
Bajeti yako sh.ngapi?Ndugu, wapi naweza pata Lumia 535/540/550 kwa bei nafuu??
250K-275k mkuuBajeti yako sh.ngapi?
Panda mpaka 300k nikuuzie LUMIA 650 DUAL SIM LTE250K-275k mkuu
Techno w4wakuu mimi nina laki mbili ipi simu ya android nzur nitapata!
Chief naomba unisaidie ni simu ipi bora kati ya HUAWEI P8Lite na SAMSUNG J3hio y6 pro aliokutajia jamaa hapo juu kama utaipata kwa bei hio itafaa, inakaa na charge lakini perfomance yake na matumizi kwa ujumla yatakuwa sio mazuri kama hizi nilizokutajia.
perfomance na chipset ni p8 nzuri, camera na battery j3 ni nzuriChief naomba unisaidie ni simu ipi bora kati ya HUAWEI P8Lite na SAMSUNG J3
Kuanzia Camera, chipset, battery, protection, na performance natanguliza shukrani
Kias gan manperfomance na chipset ni p8 nzuri, camera na battery j3 ni nzuri
why usitafute j5? inacover weakness za wote hapo juu na bei almost ni sawa
around 350,000Kias gan man
hizi ni bora zaidi ila ni used, lg g3 unapata bei hio, sina uhakika kama z3 utapataVp kuhusu SONY Z3
na
LG G3
Lakini kama sio mtunzaji mzuri nakishauri usifikirie kununua SONY vioo vyake viko delicate sana na crack kidogo tu touch imeshakufa .hizi ni bora zaidi ila ni used, lg g3 unapata bei hio, sina uhakika kama z3 utapata
Chukua hiyo A5 2017 iko vizuri sana kuanzia camera,storage hadi performance pia ni water proofChief-Mkawa,Kati ya Samsung A5(2017), Samsung j5pro(2017)na C5 (2017) nnichukue ipi, mkuu,napenda camera,storage,na performance ,kama hutojali ukaweka na bei mkuu,na kwa yeyeto anaye kuwa na wazo anipe
mkuu kama alivyokwambia Bobbyray A5 2017 ni nzuri zaidi.Chief-Mkawa,Kati ya Samsung A5(2017), Samsung j5pro(2017)na C5 (2017) nnichukue ipi, mkuu,napenda camera,storage,na performance ,kama hutojali ukaweka na bei mkuu,na kwa yeyeto anaye kuwa na wazo anipe