smartgirly
Member
- Nov 24, 2010
- 11
- 0
:target:Watanzania tuwacheni kasumba wakujifanya sisi ni wakamilifu tuache tabia hiyo:target: kosoa panapotokea kosa usikosoe kabla ya kutendeka kosa:A S clock: hakuna alozaliwa kuwa anajuwa na hakuna somo la kusomea Uwaziri wala Urais:target: Uongozi ni matendo mema:target: