SMART Partnership Dialogue in Dar es Salaam - Tanzania

SMART Partnership Dialogue in Dar es Salaam - Tanzania

Tbc wanarusha live majadiliano ya smart partnership diolog, wageni ni wengi sana wa kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo marais 8 toka nchi mbalimbali.

- Mgeni rasmi ni Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.
- Ni majadiliano kwa manufaa ya wote, ndani ya ukumbi wa Nyerere.


Kuna kitu kizuri sana kinazinduliwa kuhusu afya ya jamii yaani TELEMEDICINE ambapo kutakuwa na mtandao wa mawasiliano wa kutoa huduma za afya kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini, tatizo la upungufu wa madaktari sasa basi na mgonjwa hana haja ya kusafirishwa kwenda mbali kutafuta huduma wala kukaa foleni kusubiri huduma.ELIMU MTANDAO GOES ON.

TUFUATILIE

gesture for Mr.Obama
 
Huyu jamaa nadhindwa kumuelewa..
anakazana kushauri watu kutoa elimu kuanzia primary mpaka chuo kikuu ..sasa sijui kuwekeza ndo kurundika watoto kwenye majengo na kuwapitisha kwenye mitihani!?
ati science and technology by reseach...wenzio wanazo policy za maana za kuwekeza kwenye sayansi na research yeye anawekeza kwenye chama na familia.

hivi wakati anawataja kina max malipo na wengine hivi founders wa jf hawakustahili kupewa shavu kwa mchango wao au?
 
hivi wakati anawataja kina max malipo na wengine hivi founders wa jf hawakustahili kupewa shavu kwa mchango wao au?
mkuu wanastahili hiyo heshma sema wana jf ndio wanawaangusha kwa sababu ya kupenda kutoa matusi na matusi na matusi badala ya kujenga hoja
 
mkuu yaan bora akijielekeze kwenye hotuba anavyojitahidi kufafanua na kutoa mifano anapoyola mbaya....watu wameboreka basi tu wafanyaje

Angeisoma hotuba tuu na kutambaa...hana hata lugha nzuri ya kuwaita na kuwainua watu...sasa wale vijana aliowaita kule ndani..wanaotakiwa kuwa mashujaa wetu alikuwa akiwaita km anaita vibaka.

Kuna vitu very serious km uraia wa nchi zaidi ya moja....alikuwa akiongea isivyo sahihi.Nina mashaka nae sana huko nje aendapo jinsi gani anawakilisha mawazo, au kuweza jenga hoja haraka ktk majadiliano ili awe winner.Tunapoteza sana kuwa na mtu hata lugha tuu inaweza maliza concntration yake ktk issues.
 
Angeisoma hotuba tuu na kutambaa...hana hata lugha nzuri ya kuwaita na kuwainua watu...sasa wale vijana aliowaita kule ndani..wanaotakiwa kuwa mashujaa wetu alikuwa akiwaita km anaita vibaka.

Kuna vitu very serious km uraia wa nchi zaidi ya moja....alikuwa akiongea isivyo sahihi.Nina mashaka nae sana huko nje aendapo jinsi gani anawakilisha mawazo, au kuweza jenga hoja haraka ktk majadiliano ili awe winner.Tunapoteza sana kuwa na mtu hata lugha tuu inaweza maliza concntration yake ktk issues.
enhe, hiyo ni one side of the coin, what abt the other
 
Angeisoma hotuba tuu na kutambaa...hana hata lugha nzuri ya kuwaita na kuwainua watu...sasa wale vijana aliowaita kule ndani..wanaotakiwa kuwa mashujaa wetu alikuwa akiwaita km anaita vibaka.

Kuna vitu very serious km uraia wa nchi zaidi ya moja....alikuwa akiongea isivyo sahihi.Nina mashaka nae sana huko nje aendapo jinsi gani anawakilisha mawazo, au kuweza jenga hoja haraka ktk majadiliano ili awe winner.Tunapoteza sana kuwa na mtu hata lugha tuu inaweza maliza concntration yake ktk issues.
baadhi ya mambo ktk hotuba yake amesema TANZANIA INAHITAJI KUKUZA TECHNOLOJIA YAKE YNYW KWA MAENDELEO YA WATU WAKE NA KUSEMA ELIMU YA SAYANSI IPEWE KIPAUMBELE
 
Ni wakati Wake na ni Rais wetu ,hatuna la kufanya, ya kaisari MPE
 
Alisema litapungua umeona nchi gani duniani imemaliza tatizo la ajira kwa 100%,hata marekani lipo.

Kwani Tanzania imefanikiwa kwa asilimia ngapi?
Na je Jk alivyotuahidi kuwa suala la ajira na umaskini litakuwa historia alikuwa anatuhadaa watanzania?
 
Mkuu mbona jk katema mambo mazuri tu,tatizo we bavicha wamekuharibu.

Makamu wa rais mwenyewe alikuwa akimsikiliza km mtu anayemwona mwanaye akitembea kwa kuyumba juu ya ukuta mrefu ulio ukingoni mwa mto wenye kina kirefu....alikuwa kila akiona JK kamaliza statement anashusha kidogo pumzi.

Ni kawaida ya magamba kusifia chongo...rais alikuwa waziri wa mambo ya nje long time sijui miaka yote alikuwa akiongeaje?
 
Makamu wa rais mwenyewe alikuwa akimsikiliza km mtu anayemwona mwanaye akitembea kwa kuyumba juu ya ukuta mrefu ulio ukingoni mwa mto wenye kina kirefu....alikuwa kila akiona JK kamaliza statement anashusha kidogo pumzi.

Ni kawaida ya magamba kusifia chongo...rais alikuwa waziri wa mambo ya nje long time sijui miaka yote alikuwa akiongeaje?
Kila ijumaa saa sabA kamili huwa unatema pumba!!
 
mkuu wanastahili hiyo heshma sema wana jf ndio wanawaangusha kwa sababu ya kupenda kutoa matusi na matusi na matusi badala ya kujenga hoja

We mwenyewe ni kieleleza cha matusi hapa Jf pamoja na unatetea buku7 zako. Utamwitaje mwenzake devil?
Hyo ni personal atack ndugu.
 
Maji safi ya kunywa bado ni tatizo kwa majority ya watanzania tangu uhuru,
hilo la Telemedicine ni rahisi kuliko hili la maji?

Haya majamaa mabwege sana haya...telemedicine halafu mambo haya
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1372442653.774509.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1372442653.774509.jpg
    13.7 KB · Views: 38
Kwani Tanzania imefanikiwa kwa asilimia ngapi?
Na je Jk alivyotuahidi kuwa suala la ajira na umaskini litakuwa historia alikuwa anatuhadaa watanzania?

Jk ndo maana unadharaulika sana..wazungu wanakutumia na unatumika wanakuona mbulula
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1372442740.288855.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1372442740.288855.jpg
    39.1 KB · Views: 42
baadhi ya mambo ktk hotuba yake amesema TANZANIA INAHITAJI KUKUZA TECHNOLOJIA YAKE YNYW KWA MAENDELEO YA WATU WAKE NA KUSEMA ELIMU YA SAYANSI IPEWE KIPAUMBELE

Sishangai wakitumia terminologies za watu wa mataifa mengine.Kinachosahaulika ni kwamba watanzania husema vitu vingi sana wasivyovifahamu....NIlishawahi andika humu ndani thread moja..nnikisema wazi "Polisi wetu hata definition ya Human rights wameishika tuu ila sijui km wanaelewa kitu." mods km kawa wakaito aharaka sana,sasa hivi watanzania wanashuhudia kuwa polisi hawaijui haki ya binadamu ndio maana hata hawaoni makosa ya kuogopa ktk matendo yao.

JK hajui asemalo ....katafuana maeneno ya kuwa impress wakubwa zake..huwa wao wanadhani ukinunu vitu vilivyowanya wengine wafanikiwe nao watafanikiwa....Saudi Arabia na nchi nyingine wamejenga shule nyingi sana, wameweka vifaa vingi sana......halafu wakaingia line ktk uongo waliotunga wao wenyewe kuwa west waliiba ilm yao kubwa sana...mwisho wakaishia kutokwa na kitu cha maana toka ktk majengo yanayoitwa shule,au vyuo.
 
Back
Top Bottom