habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
- Thread starter
- #81
educ kuanzia chini hadi juu kwa kuwa na walimu wa kutosha wa sayansi na materials/ vitendea kazi
acha umbea wa kike mkuu, fatilia content ya mkutano
sasa kama sifuatilii mkutano ningejuaje kama kanyoa namna hiyo??acha ushamba mkuu..inaonekana hujawahi kuhudhuria mikutano mikubwa...kuna kitu tunaita EYES and EARS personel..am an EYES peersonel..(KWA FAIDA YAKO WE MSHAMBA a.ka GAMBA)
kula tano mwanangu
stop thinking locally mkuu. unatia aibuuuuuu
Mkuu hili lisiwape shipa kenyatha yupo na mseven yupo but kagame hayupo kwa hiyo mnaweza kujua nani mkorofi kwani hajatuma hata mwakilishi.how do i think locally,please elaborate mkuu??
Unajua the fate of EAC right now is at stake after the meeting of tripple k' excluding kikwete,so with the presence of museveni and expected presence of kenyatta we hope the contrevasial news about the future of EAC will be open,,,
Mkuu at times think twice before commenting,,,
Kujenga sayansi na tekn ambayo inatokana na wenyeji ni jambo la msingi.