SMART Partnership Dialogue in Dar es Salaam - Tanzania

SMART Partnership Dialogue in Dar es Salaam - Tanzania

Wanatumbuiza vizuri sana huku wakipeperusha bendera ya taifa.
 
Makamu wa marais wa nchi mbalimbali pia wapo kuwawakilisha marais wao ambao hawakuweza kufika kwa sababu mbalimbali.
 
Uwepo wa mbuga za wanyama na maliasili nyingine nyingi kunaitofautisha tanzania na mataifa mengine.
 
Naona ni mwendo wa Movie back bandua dooooh! huyu Project Manager SPD ni mke ya Jairo?
 
Tanzania inapiga hatua kubwa katika maendelea ya sayansi na teknology katika secta mabalimbali.
 
Tunaoneshwa kwamba miongoni mwa tasisi za sayansi na teknolojia tulizo nazo ni pamoja na mist mby,nelson mandela arusha.
 
Wakuu mada kuu kwa sasa ni karibu tanzania ndiyo inayoendelea.
 
moja ya mada ni utatumiaje telecom kurahisisha huduma ya afya
Kweli magamba ni pumbavu kabisa(sio tusi hata mahakama imedhibitisha)juzi mmetuongezea kodi kwenye simu na hata line za simu tunalipia,leo hii mnakurupuka na vitu vingine...hivi vitambulisho vya uraia tayari?Hili nalo litaishia hewani tu na kodi zetu zishatafunwa!!!
 
Balozi sefue amewakaribisha rasmi washiriki walioweza kufika.
 
Educate people on IT, provide the necessary amenities ie computers otherwise this is just doomed to fail..
 
Bill crinton rais wa zamani wa marekani alikuwa aje but kashindwa kufika ila ametuma ujumbe kwa washiriki.
 
Back
Top Bottom