Onduru Ogy
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,136
- 1,181
Huyu jamaa nadhindwa kumuelewa..
anakazana kushauri watu kutoa elimu kuanzia primary mpaka chuo kikuu ..sasa sijui kuwekeza ndo kurundika watoto kwenye majengo na kuwapitisha kwenye mitihani!?
ati science and technology by reseach...wenzio wanazo policy za maana za kuwekeza kwenye sayansi na research yeye anawekeza kwenye chama na familia.
anakazana kushauri watu kutoa elimu kuanzia primary mpaka chuo kikuu ..sasa sijui kuwekeza ndo kurundika watoto kwenye majengo na kuwapitisha kwenye mitihani!?
ati science and technology by reseach...wenzio wanazo policy za maana za kuwekeza kwenye sayansi na research yeye anawekeza kwenye chama na familia.