habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
- Thread starter
- #61
anasema wageni wetu karibuni tanzania, anasema kuhudhuria kwenu hapa ina maana kuwa mmetoa heshma kubwa kwa mkutano huu
Kazi zao zinajulikana mkuu.Intro ya Mkapa na Chisano wameshangiliwa sana kwa nini?
stop thinking locally mkuu. unatia aibuuuuuuDaah mbivu na mbichi kuhusu hatima ya EAC itajilukiana kupitia mkutano huu,,mu7,kenyatta nadni ya nyumba,,,,
Maji safi ya kunywa bado ni tatizo kwa majority ya watanzania tangu uhuru,
hilo la Telemedicine ni rahisi kuliko hili la maji?
acha umbea wa kike mkuu, fatilia content ya mkutanokikwete kanyoaje ivyo au ni TV yangu???????/
Acha utoto lete vitu vya msingi mkuu.Ombeni bwana!!!!
eti Madam Kikwete!!!(mama salma kikwete)
Daah mbivu na mbichi kuhusu hatima ya EAC itajilukiana kupitia mkutano huu,,mu7,kenyatta nadni ya nyumba,,,,
Ni kweli mkuu wote wawili wapo kasolo kagame tu,atabaki kukonda tu.Daah mbivu na mbichi kuhusu hatima ya EAC itajilukiana kupitia mkutano huu,,mu7,kenyatta nadni ya nyumba,,,,