Wanasubiri DVD ya Cllinton. Imegoma
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
mkurugenzi wa kampuni ya simu ya huawei toka nchini china yupo, anaitwa moses pailler
Maji safi ya kunywa bado ni tatizo kwa majority ya watanzania tangu uhuru,
hilo la Telemedicine ni rahisi kuliko hili la maji?
kula tano mwananguCorrection mkuu, anaitwa Moses Hella...Mkurugenzi mzawa wa Huawei Tech kwa Tanzania
imeshaoneshwa mkuu labda ulitoka kdg