Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
ukiwa kigaloni lazima utakuwa na akili kamaz ako, cjui dharau cjui kitu gani na gani, na kwanini ukose mwanaume wako mwenyewe bac mpaka uje udandie wa wenzio? mwanamke mwenye staha zake hawezi kukosa mwanaume hata cku moja, wengine tulipotaka kuolewa walijitokeza wakaka wenye nia zao mtu unafanya kuchagua mwenyewe, ndio nakushangaa kama wewe utapataje mwanaume wa kuleweka na mitabia kama hii?
Kudadeki.........