"Small House" inapokuwa Nyumba kubwa

"Small House" inapokuwa Nyumba kubwa

hahaha Mrs...kipo likizo, ukiona ivo we refresh tu kitatokea.....si naona leo msuko mwingine wa JF, sijui ndo yebo yebo ama twende kilioni? au haya mabutu?

Hommie Hii staili naona ni RElaxa! hahaha
 
Ndiyo hivyo hakuna kosa lisilokuwa na matokeo. Mtu unamdharau mumeo unamuona hana maana kumbe wenzio wana shida wanamtamani unatarajia nini. Na huyo aliyekuwa na shida hivyo akimpata wa kumliwaza hamwachii ng'o, yani atamtunza kama lulu harudi tena alikokuwa kwenye madharau.

Mh sometimes hamna dharau iliyotendeka wala nini na bado mtu anatoka kufata nyumba ndogo,
ni tamaa tu ya mtu binafsi, na mi nashindwa sana kuelewa pale mtu anapojijua kuwa yeye ni nyumba ndogo na bado
anaendelea kufurahia....imagine urself kama ungekuwa wewe ndio nyumba kubwa afu u find someone comes in between....
 
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba ndogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa..

Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.
Mzee Mwanakijiji, wewe unapoibuka na thead kama hii humu jamvini, naamini there is more that what meet the eyes!. Nasubiri link ili niconnect the dots.
 
Ni fahari kwa aliyepanda cheo na ni aibu kwa aliyeshushwa pengine kwa makosa yake mwenyewe na kujifanya kichwa ngumu wakati wenzie pia wanahitaji hiyo nafasi halo.
Wa ukweliii! sema!!
 
unajua kuna wakati mtu hutakiwi kulazimisia mambo maishani, unayaanza tu kama yalivyo, ndio kama hapa ni kumuacha tu huyo baba aanze maisha yake upya, lakini wanaume jaamni, mie nasemaga mtu akipata mwanaume wa kumburuza na amburuze haswaaaa..

nashukuru kwa ushauri huu.......:smile-big:
 
Duh! Mbona nyingi tu? Hata Beki tatu wanakuwa nyumba kubwa..
 
Mimi hii kitu imekaa KISIASA zaidi labda atufafanulie,,,,lakini kwa hapa bado its kind of hanging ngoja aje MMM atuambie ana maana gani....given the current political situation....

Mkuu hapo unafanzaje??double stry katika QUOTE????nimeshindwa yakhe!
 
apo unamsema Dr. au? mimi ameniboa, na pamoja na kwamba wansema hiyo ni private life yake, anakera. mtu mwenyewe ameshazeeka, mambo ya kitandani ya nini hata afanye hivyo? au papa alimbania sana kwa miaka mingi sasa anataka kulipiza kisasi?
 
unajua kuna wakati mtu hutakiwi kulazimisia mambo maishani, unayaanza tu kama yalivyo, ndio kama hapa ni kumuacha tu huyo baba aanze maisha yake upya, lakini wanaume jaamni, mie nasemaga mtu akipata mwanaume wa kumburuza na amburuze haswaaaa..

Nyie mlopata wanaume mnawadharau, wenzio wamekosa wanawatamani, unadhani ukimwachia nikimpata kuna kurudi kwako tena? Kama kweli wanaume ni wabaya kama wengine mnavyodai hapa, basi hata kwengine wakienda wasingedumu. Lakini hebu fikiri inakuwaje mke unadharau mumeo unasema mbaya kila kitu kibaya ni yeye, lakini mwenzio akimpata anasema huyu ndio mwanaume jamani nilikuwa wapi nisimpate hadi akapotelea huko anakodharauliwa.
 
Nyie mlopata wanaume mnawadharau, wenzio wamekosa wanawatamani, unadhani ukimwachia nikimpata kuna kurudi kwako tena? Kama kweli wanaume ni wabaya kama wengine mnavyodai hapa, basi hata kwengine wakienda wasingedumu. Lakini hebu fikiri inakuwaje mke unadharau mumeo unasema mbaya kila kitu kibaya ni yeye, lakini mwenzio akimpata anasema huyu ndio mwanaume jamani nilikuwa wapi nisimpate hadi akapotelea huko anakodharauliwa.
hahahaaa! da sophy hebu wape somo hawa wakina nyamayao!!
 
apo unamsema Dr. au? mimi ameniboa, na pamoja na kwamba wansema hiyo ni private life yake, anakera. mtu mwenyewe ameshazeeka, mambo ya kitandani ya nini hata afanye hivyo? au papa alimbania sana kwa miaka mingi sasa anataka kulipiza kisasi?
Umepotea njia kama kawa!
 
Mh sometimes hamna dharau iliyotendeka wala nini na bado mtu anatoka kufata nyumba ndogo,
ni tamaa tu ya mtu binafsi, na mi nashindwa sana kuelewa pale mtu anapojijua kuwa yeye ni nyumba ndogo na bado
anaendelea kufurahia....imagine urself kama ungekuwa wewe ndio nyumba kubwa afu u find someone comes in between....

Ndio mkome sasa na dharau zenu. Mtu unaolewa unampuuza kila mtu humo mpaka mumeo, angekuwa mpuuzi angekuoa? Sasa amepata anayemheshimu anafurahia maisha kama wanaume wenzake, ya nini kuteseka kwani ndoa nini bwana?
 
Ndio mkome sasa na dharau zenu. Mtu unaolewa unampuuza kila mtu humo mpaka mumeo, angekuwa mpuuzi angekuoa? Sasa amepata anayemheshimu anafurahia maisha kama wanaume wenzake, ya nini kuteseka kwani ndoa nini bwana?

U are jus sayin that kwa sababu wewe ndiye unayeiba,
Otherwise ingekuwa ni wewe unafanyiwa hivyo......
"mkuki kwa nguruwe....si unaelewa eeh"

No hard feelings......just mawazo!
 
Nyie mlopata wanaume mnawadharau, wenzio wamekosa wanawatamani, unadhani ukimwachia nikimpata kuna kurudi kwako tena? Kama kweli wanaume ni wabaya kama wengine mnavyodai hapa, basi hata kwengine wakienda wasingedumu. Lakini hebu fikiri inakuwaje mke unadharau mumeo unasema mbaya kila kitu kibaya ni yeye, lakini mwenzio akimpata anasema huyu ndio mwanaume jamani nilikuwa wapi nisimpate hadi akapotelea huko anakodharauliwa.


ukiwa kigaloni lazima utakuwa na akili kamaz ako, cjui dharau cjui kitu gani na gani, na kwanini ukose mwanaume wako mwenyewe bac mpaka uje udandie wa wenzio? mwanamke mwenye staha zake hawezi kukosa mwanaume hata cku moja, wengine tulipotaka kuolewa walijitokeza wakaka wenye nia zao mtu unafanya kuchagua mwenyewe, ndio nakushangaa kama wewe utapataje mwanaume wa kuleweka na mitabia kama hii?
 
Back
Top Bottom