"Small House" inapokuwa Nyumba kubwa

Umenifurahisha sana leo, sijui nikupe zawadi gani?

Nipe mimi badala yake...Hata hiyo avatar tu itanitosha kama utanipa kwa moyo mmoja......OMG Smiles asijeisoma hii post, ee Mungu saidia ....:confused2:
 
Go Da Sophy gooooo!!

Mi bwana nakuunga mkono. Hawa kinadada walioenda shule wana matatizo sana. Mi ndo maana my wife alivofika mwaka wa pili chuo nikamtaka achague kupata digrii au kunipata mimi. Akaamua kunipata mimi na mpaka leo hajajuta...

Najua madigrii women yatanicharukia lakini mi na Da Sophy habari yetu ndiyo hiyo!!! Madigrii wapelekeeni maprofesa huko...:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Mi niliandika hivi

Mmh.... ya kweli haya??!
Huyu akauliza hivi...



Hahaaaaaaaaaaaaa, nice meeting you!!!!!!!!!!!!!!!
huyo mwanamke lazima alikuwa na tatizo la saikolojia
Huyu naye akafurahi kukutana na mimi.........Mungu anipe nini zaidi? Are you ready?

U must be joking, au ndiyo unaaply ule msemo wa Yes to plz the fool?
Hata huyu naye.

Woooote wanaimba wimbo mmoja...... Lakini mi na Da Sophy tunasema....HATUDANGANYIKI!!
 
Nipe mimi badala yake...Hata hiyo avatar tu itanitosha kama utanipa kwa moyo mmoja......OMG Smiles asijeisoma hii post, ee Mungu saidia ....:confused2:

atakaekupa wewe lazima atakuwa mwehu...
 
Kazini unapofanya kazi nzuri unategemea kupanda cheo.Kuna ubaya gani nyumba ndogo kupanda cheo kama imeshughulika vyakutosha?.Nyumba kubwa kushwa cheo ni sawa tu unaweza kukuta nyumba kubwa imezembea kupita kiasi kushushwa cheo ni wajibu kwa mzembe yoyote.
 
Back
Top Bottom