Slaas Best Lies (Ukiondoa za msimu za kampeni)

hivi badala ya kutafakari yaliyosemwa mnabaki kutukanana, hawa wote ni wanasiasa. Yani akiguswa slaa basi hapa jf great thinkers wanapotea..

1.) hivi umeshajiuliza hiyo elimu bora ya bure itapatikana vipi ?

imesha elezwa na kufafanuliwa vizuri kwenye ilani, tafuta ilani usome.

2.) umejifuza nini kutokana na hizi slogans: Elimu ni ufunguo wa maisha, kilimo kwanza, kilimo ni uti wa mgongo, maisha bora kwa kila mtanzania. So what is new ?? Is slaa above all this?

lipo wazi hilo kuwa ni above all that na ndio maana mnaangaika na siasa za majitaka.ambazo wakianza wenzenu unajua wazi kabisa autaweza kuvumilia.


2.) hivi hii slogan ya chagua mtu sio chama ina maanisha nini ? Ina maanisha chama ni kibovu lakini mtu ni mzuri ? Hivi unaweza kutenganisha chama na mgombea wake ? Mgombea anachaguliwa na chama au sio ?

sijawahi kuisikia slogan kama hiyo labda unipe ushahidi.


3.) wewe kama hukujua huyo ni mke wa mtu, leo unajua ni mke wa mtu, umefanya nini?

majitaka!!


4.) gharama za kampeni zinatokana na uwezo wa chama. Sikumsikia slaa akisema mbowe asitumie helicopter 2005 kuwafikia wapiga kura na badala yake ajenge shule...sasa mabango ya ccm yanahusu nini??

hapa ndipo naposhindwa kuwa helewa hawa wana ccm, sisi wana mageuzi tunasema kuwa ccm wanatumia kodi zetu kwa kampeni zao, na mbowe naamini hakutumia kodi za wananchi.
Hivi embu fikiria ni serekali gani inayo shindwa hata kununua ambulance mpaka misaada? Lakini ccm ina uwezo wa kununua land cruiser zaidi ya 200 kwa ajili ya kampeni.
Tunataka kodi zetu zitupe elimu na huduma zingine muhimu bureeeeeee!!!!!!!! Na linawezekana.

kama huamini chagua dr. Slaa huonee.

don't be fooled by politicians...


tafakari chukua hatuaaaaaaa!!!!!!!!!!
 
Kila sentensi ninayoisoma hapa inapingana na ukweli japo unadai Slaa ni mwongo? I think wewe ndo mwongo. Ama ubadilishe heading yako ndo ulete blablah zako. Ngoja niishie no 3 maana naona:bowl::bowl:
 
Dude WTF is up with the quotes??? Its very plain to see that you don't have the capacity to come up with them so stop copying and pasting CRAP... As you don't have any original thoughts of your own...
 
Dude WTF is up with the quotes??? Its very plain to see that you don't have the capacity to come up with them so stop copying and pasting CRAP... As you don't have any original thoughts of your own...

What do you call the right use of knowledge?
 
naomba niwe mod japo kwa masaa mawili had saa kumi ya leo

niisafishe jf

vichaa wameingia humu
 
1. Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais.( ilikuwa ni siku ya pili tangu nichukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la karatu;sahihi 400 zilipatikanaje ndani ya masaa?au kwa sababu alihojiwa na gazeti la mwananchi?!)
2. Sikuwa na ndoto ya kugombea urais.( kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais;uliamua ndani ya siku mbili?,safi,kumbe hata kulipa madeni yote ndani ya siku 100 inwezekana)
3. Mwaka 2001 hadi 2008 watanzania ambao ni masikini wa kutupwa wameongezeka kutoka 11.4 milioni hadi 12.9 milioni. (ni 11.1 hadi 11.8,world economic report 2010)
4. Mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali unasababishwa na katiba mbovu. (maana yake serikali yoyote ikiwa madarakani na ikatenda vibaya isihojiwe mpaka katiba irekebishwe na kwamba yeye amekuwa sehemu ya bunge linaloongozwa kwa katiba mbovu kwa miaka mingi na amekubali waliounda katiba hiyo toka mwaka 1977 si lolote)
5. Nitajenga mfumo mpya wa serikali kwa kubadilisha katiba.(katiba hushughulikiwa na bunge au huandikwa na rais kama mahubiri kanisani?)
6. Hadi sasa imejenga shule za sekondari 300 tu.(shule zilizojengwa ni 3,131 katika kata 2,575)
7. Ahadi kwenye bajeti zipo, lakini hazitekelezwi.(hakuthubutu kuendelea kuelezea hapo,alijua ni uongo)
8. Hakuna utawala wa sheria.(nini kilimpata shibuda alipoleta ghasia mafia?)
9. Mimi ni ‘zero tolerance' kwa ufisadi. (ruzuku ya tshs.1 bilioni kila mwaka toka serikalini kwenda ccbrt ina matatizo kila mwaka,huko yeye ni mwenyekiti;ameacha ukatibu mkuu wa baraza la maaskofu tanzania akiwa na matatizo mengi ya kifedha na hata jimboni mbulu)
10. Hakuna ‘level ground' ya siasa hapa nchini.(ni nani ambaye hakusaini sheria ya uchaguzi na ambaye hawajibiki akizivunja?)
11. Chadema ndicho chama mbadala.(kwa uhalisia na vipimo gani?)
12. Sikujua kama josephine ni mkwe wa mtu.
13. Kafulila ni mdudu sisimizi. (lmao!)
14. I was cleared by the vatican.( http://lineofauthority.com/,priesthood is never cleared)
15. Kikao cha kutengue uteuzi wa viongozi huwa ni cha kiofisi.(kafulila alitimuliwa kihuni).
16. Tunawapenda watanzania wote.(familia yake yenyewe ameshindwa kuiweka iishi pamoja kwa upendo).
haya yote uliyoandika nakumbuka nilipokuwa darasa la kwanza primary school tulikuwa tunasoma na wengine wakiwa hata wamebarekhe. Ukiamgalia unaona huyu ni mkubwa na mantiki hiyo basi unafikiri anajua kila kitu siku ya mtihani ukiibia kwake unafikiri umepata kila kitu. Majibu yakirudi wote mna sifuri. Basi tukifuata yako haya watanzania tutakuwa kwenye maisha mabaya sana....tunashukuru kwa kutujulisha nasi tunaomba uweze kuhamasisha watanzania tuondokane na dimbwi la umaskini siyo kutoa maneno yasiyotusaidia kutoka kwenye umaskini....
 
Hivi umeshajiuliza hiyo elimu bora ya bure itapatikana vipi ?


Hiyo ya pesa ina ubora gani????? Mbona watoto wao hawasomi humo???
 
Kila sentensi ninayoisoma hapa inapingana na ukweli japo unadai Slaa ni mwongo? I think wewe ndo mwongo. Ama ubadilishe heading yako ndo ulete blablah zako. Ngoja niishie no 3 maana naona:bowl::bowl:

Just proving that facts are stubborn things.
 
Libraries keep the records on behalf of all humanity. the unique and the absurd, the wise and the fragments of stupidity.

Matatizo ya Id Kumi kumi bana, unaandika halafu unasahau kusign in na ID nyingine matokeo yake unaandika unajiquote na kujijibu mwenyewe
 
Back
Top Bottom