Slaas Best Lies (Ukiondoa za msimu za kampeni)

Watanzania wameshafanya uamuzi. Hizi tuhuma za kubambikia hazina nafasi tena.

The third-rate mind is only happy when it is thinking with the majority. The second-rate mind is only happy when it is thinking with the minority. The first-rate mind is only happy when it is thinking.
 
The third-rate mind is only happy when it is thinking with the majority. The second-rate mind is only happy when it is thinking with the minority. The first-rate mind is only happy when it is thinking.

Ernesto, nyinyi hamna jipya, ni waenezaji upupu tu. waTZ wamekwijua janja yenu.

It is less that 5 days broda... lets wait and see!! You just :tape: and wait.
 
Ernesto, nyinyi hamna jipya, ni waenezaji upupu tu. waTZ wamekwijua janja yenu.

It is less that 5 days broda... lets wait and see!! You just :tape: and wait.

"Ernesto, nyinyi hamna jipya."Blindness
 
Majibu:
(1) Kuhusu hilo swala la yeye kugombea hata Jamii Forum lilipendekezwa kwahiyo siwezi shangaa Wanafunzi washindwe kumpendekeza umejaribu kufikiria uwezekano huo katika vyuo kama UDSM, UDOM, SUA or MZUMBE? yaani hiyo namba 400 mbona realistic! kuna mitandao siku hizi a matter of petitioning a motion and the rest follow the path!
(2) kwahiyo unabisha ukweli kwamba alishachukuwa fomu za Ubunge nathani Kiravu anaweza kukuthibithishia hilo! hapa sio sehemu ya udaku
(3) Ina maana wewe unachoamini wewe ni World Economic Report 2010 tu? je umeangalia IFM report au World Bank Report? au unabisha kutokana na reference zako unazopenda wewe tu? try to have constructive arguments!
(4) Ufinyu wa uelewa wako ndo unakupelekea kuelewa hivyo!
(5) Nasititiza akiwa kama Rais Wa Jamhuri yeye ndo huanzisha mchakato, hupeleka Bungeni na kwa vile atakuwa na wabunge wengi wa Upinzani (uups wa serikali) watalipitisha na atamwaga saini kuidhinisha! technical yeye ndo ataibadilisha akiwa na support ya Wabunge wa Jamhuri! Uache umbumbumbu!
(6) Hili ni swala la itikadi sasa inategemea na maana kamili ya shule kama zizi laweza kuwa shule then hoja yako yaweza pita! na pia kama wananchi wamechangishwa ni vp serikali iseme imejenga na sio Wananchi! Try to be logical!
(7) Unabisha na hili; Muulize Kikwete hili yakhe?
(8) Huu ni "ushangupapa" hauna nafasi kwenye Home of Great Thinkers
(9) Madai kama haya yanadhibitika na watu wa auditing (Independent) sio vijiweni au ofisi za CCM!
(10) Kikwete na CCM wanapitiliza muda wa kampeni, wanatumia magari ya serikali with forged plate numbers, wamefuja hela za serikali kutengeneza mabango, pia kulipia gharama za Mkewe na Ridhiwani na zaidi wanatumia polisi kukandamiza Upinzani!
(11) sera safi na kinakubalika hakina ufedhuli na ufisadi
(12) Mkwe wa Mtu hana alama Usoni
(13) heshima katika uongozi wowote ni Muhimu na kama alileta fujo then he deserved what he got na hata kama atashinda Uchaguzi time will tell maana siasa zinahitaji maelewano among viongozi
(14) Kuna kitu kinaitwa ex-communication nathani fanya uchunguzi ujue what it is na pili hiyo link uliyotoa hata Shamte anaweza bandika!
(15) Ni mawazo yako hayo (alisimamishwa kwa kiburi akajiondoa chamani na sasa analipwa na CCM kama Mbatia)
(16) Heri wewe babaako na mamako wanakuelea kiupendo ila nachoweza sema hamna mtoto wa Slaa aliyeshindwa kwenda shule! Mambo binafsi hayo hayaleti mkate mezani mwako! leta upuuzi mwingine...
 
Iam afraid its too late for you broda!...Keep these records in paper, tutazipitia mbele ya safari tukiwa naye kama rais!, na tutaona applicability wakati huo...
Kwasasa huwezi kubadili hata milimetre ya situation!
Pole, sina msaada zaidi na wewe!

How will you react when The people of Tanzania will Speak Loud and Clear by Voting in JK for yet another time...Jiandae pia kwa usiyotegema ili usijejitundika kamba.
 
Kwanini,
Sadly, your memebrship status'd be upgraded by your jealosy! Angalia wajomba hawajaamka utakimbia mwenyewe.
 
Ndio maana huyu jamaa wa octoba lakini ana posti nyingi kumbe anauliza na kujijibu yeye mwenyewe!:peep:
 
Kwanini:
Join date: Sept 2010

Bila shaka hawa ndio vilaza wachache walipandikizwa na CCM humu JF ili kuokoa jahazi, ooh! pole sana kaka, propaganda zako ni pumba na juhudi za kumchafua slaa wakati huu ni sawa na kupaka rangi upepo. Kwa kifupi umechemsha na hoja zako nyepesi zisizo na mvuto. Kama ulilipwa kwa hilo hongera kwa kula hela ya mafisadi lakini nasikitika lengo lako halijatimia. Kwanini, mtu mzima hovyoooooooo!

Kumbuka kumpigia kura Dr. Slaa!
 
Majibu:
(1) Kuhusu hilo swala la yeye kugombea hata Jamii Forum lilipendekezwa kwahiyo siwezi shangaa Wanafunzi washindwe kumpendekeza umejaribu kufikiria uwezekano huo katika vyuo kama UDSM, UDOM, SUA or MZUMBE? yaani hiyo namba 400 mbona realistic! kuna mitandao siku hizi a matter of petitioning a motion and the rest follow the path!
(2) kwahiyo unabisha ukweli kwamba alishachukuwa fomu za Ubunge nathani Kiravu anaweza kukuthibithishia hilo! hapa sio sehemu ya udaku
(3) Ina maana wewe unachoamini wewe ni World Economic Report 2010 tu? je umeangalia IFM report au World Bank Report? au unabisha kutokana na reference zako unazopenda wewe tu? try to have constructive arguments!
(4) Ufinyu wa uelewa wako ndo unakupelekea kuelewa hivyo!
(5) Nasititiza akiwa kama Rais Wa Jamhuri yeye ndo huanzisha mchakato, hupeleka Bungeni na kwa vile atakuwa na wabunge wengi wa Upinzani (uups wa serikali) watalipitisha na atamwaga saini kuidhinisha! technical yeye ndo ataibadilisha akiwa na support ya Wabunge wa Jamhuri! Uache umbumbumbu!
(6) Hili ni swala la itikadi sasa inategemea na maana kamili ya shule kama zizi laweza kuwa shule then hoja yako yaweza pita! na pia kama wananchi wamechangishwa ni vp serikali iseme imejenga na sio Wananchi! Try to be logical!
(7) Unabisha na hili; Muulize Kikwete hili yakhe?
(8) Huu ni "ushangupapa" hauna nafasi kwenye Home of Great Thinkers
(9) Madai kama haya yanadhibitika na watu wa auditing (Independent) sio vijiweni au ofisi za CCM!
(10) Kikwete na CCM wanapitiliza muda wa kampeni, wanatumia magari ya serikali with forged plate numbers, wamefuja hela za serikali kutengeneza mabango, pia kulipia gharama za Mkewe na Ridhiwani na zaidi wanatumia polisi kukandamiza Upinzani!
(11) sera safi na kinakubalika hakina ufedhuli na ufisadi
(12) Mkwe wa Mtu hana alama Usoni
(13) heshima katika uongozi wowote ni Muhimu na kama alileta fujo then he deserved what he got na hata kama atashinda Uchaguzi time will tell maana siasa zinahitaji maelewano among viongozi
(14) Kuna kitu kinaitwa ex-communication nathani fanya uchunguzi ujue what it is na pili hiyo link uliyotoa hata Shamte anaweza bandika!
(15) Ni mawazo yako hayo (alisimamishwa kwa kiburi akajiondoa chamani na sasa analipwa na CCM kama Mbatia)
(16) Heri wewe babaako na mamako wanakuelea kiupendo ila nachoweza sema hamna mtoto wa Slaa aliyeshindwa kwenda shule! Mambo binafsi hayo hayaleti mkate mezani mwako! leta upuuzi mwingine...

In summary,you have failed to match your dreams of perfection.
 
Kwanini:
Join date: Sept 2010

Bila shaka hawa ndio vilaza wachache walipandikizwa na CCM humu JF ili kuokoa jahazi, ooh! pole sana kaka, propaganda zako ni pumba na juhudi za kumchafua slaa wakati huu ni sawa na kupaka rangi upepo. Kwa kifupi umechemsha na hoja zako nyepesi zisizo na mvuto. Kama ulilipwa kwa hilo hongera kwa kula hela ya mafisadi lakini nasikitika lengo lako halijatimia. Kwanini, mtu mzima hovyoooooooo!

Kumbuka kumpigia kura Dr. Slaa!

Got hit by a storm.There's simply no other name for facts.
 
wewe umetumwa kumchafua Dr.slaa lakini kumbuka Watanzania wa leo si wa mwaka 1995 kwa kuwa hivi sasa Watanzania wamechoshwa na ukiritimba na serikali mbovu ya CCM. Zamu ya mabadiliko imefika it's now and never
 
wewe umetumwa kumchafua Dr.slaa lakini kumbuka Watanzania wa leo si wa mwaka 1995 kwa kuwa hivi sasa Watanzania wamechoshwa na ukiritimba na serikali mbovu ya CCM. Zamu ya mabadiliko imefika it's now and never

Correction;It's now or never not now and ever."
Vipi kuhusu lile la mfuko wa cement kwa Tshs.5,000 bila mkakati wa kunyanyua thamani ya shilingi kwanza?Nauliza tu.
 
Back
Top Bottom