Slaas Best Lies (Ukiondoa za msimu za kampeni)

Slaas Best Lies (Ukiondoa za msimu za kampeni)

Hello

Hakuna Binadamu aliyekamilika hata kidogo, Hasa katika Mambo Binafsi, sio katika mambo ya utendaji, Mapungufu katika utendaji yanatakiwa katika kiwango cha chini sana kiasi ambacho madhara yake tunaweza kuyapuuzia, si madhara ya kufisha.

Fikiria juu ya wajenzi/mainginia wa ujenzi wa majengo, madaraja nakadharika, wanahitajika kuwa na ufanisi wa hali ya juu sana katika kazi zao ama sivyo madhara ya mapungufu yao ni gharama kubwa sana kwa jamaa, yanasababisha vifo na upotevu mkubwa sana wa rasilimali za kiuchumi.

Angalia Madaktari, marubani, madereva nakadharika, wanahitajika kuwa na uwezo wa kutosha katika kazi hizo, ama sivyo madhara yatokanayo na mapungufu wote tunafahamu ni ya kiwango gani, wenye roho nyepesi ufumba macho wasione, ama uziba masikio wasisikie.

Tunawaamini sana wataalamu hawa katika fani zao,lakini ukijaribu kuchunguza maisha yao binafsi, unaweza kutema mate chini, na kustaajabu uchafu ulio jaa katika maisha yao, ama mapungufu makubwa sana katika maisha yao binafsi hasa ya kifamilia.

Uongozi pia, unahitaji watu Makini, Jakaya ana mapungufu yake katika mambo binafsi, Docta slaa pia ana yake, na mimi nina yangu pia, labda makubwa kuliko ya docta slaa au kilaza kikwete. Katika tasnia ya uongozi Docta slaa yuko safi sana, anastahiri kupewa nafasi ya kusimamia idara ya uongozi na utawala katika taifa letu.

By the way, Kikwete amepata nafasi, na matokeo yake tumeyaona, katika siku zijazo, kwa namna baba huyu alivyotudisha watanzania nyuma kimaendeleo, na jinsi aliivyoichafua tunu ya uongozi katika taifa letu, watu watapata faraja japo kidogo kwa kuitemea picha yake mate na kuitukana.

Jakaya hafai kabisa kutuongoza, ameishindwa, hajui kuongoza. CCM Mlimtoa wapi huyu kilaza
 
Hello

Hakuna Binadamu aliyekamilika hata kidogo, Hasa katika Mambo Binafsi, sio katika mambo ya utendaji, Mapungufu katika utendaji yanatakiwa katika kiwango cha chini sana kiasi ambacho madhara yake tunaweza kuyapuuzia, si madhara ya kufisha.

Fikiria juu ya wajenzi/mainginia wa ujenzi wa majengo, madaraja nakadharika, wanahitajika kuwa na ufanisi wa hali ya juu sana katika kazi zao ama sivyo madhara ya mapungufu yao ni gharama kubwa sana kwa jamaa, yanasababisha vifo na upotevu mkubwa sana wa rasilimali za kiuchumi.

Angalia Madaktari, marubani, madereva nakadharika, wanahitajika kuwa na uwezo wa kutosha katika kazi hizo, ama sivyo madhara yatokanayo na mapungufu wote tunafahamu ni ya kiwango gani, wenye roho nyepesi ufumba macho wasione, ama uziba masikio wasisikie.

Tunawaamini sana wataalamu hawa katika fani zao,lakini ukijaribu kuchunguza maisha yao binafsi, unaweza kutema mate chini, na kustaajabu uchafu ulio jaa katika maisha yao, ama mapungufu makubwa sana katika maisha yao binafsi hasa ya kifamilia.

Uongozi pia, unahitaji watu Makini, Jakaya ana mapungufu yake katika mambo binafsi, Docta slaa pia ana yake, na mimi nina yangu pia, labda makubwa kuliko ya docta slaa au kilaza kikwete. Katika tasnia ya uongozi Docta slaa yuko safi sana, anastahiri kupewa nafasi ya kusimamia idara ya uongozi na utawala katika taifa letu.

By the way, Kikwete amepata nafasi, na matokeo yake tumeyaona, katika siku zijazo, kwa namna baba huyu alivyotudisha watanzania nyuma kimaendeleo, na jinsi aliivyoichafua tunu ya uongozi katika taifa letu, watu watapata faraja japo kidogo kwa kuitemea picha yake mate na kuitukana.

Jakaya hafai kabisa kutuongoza, ameishindwa, hajui kuongoza. CCM Mlimtoa wapi huyu kilaza

A mere political commentator's perception.
 
If you look for truth, you may find comfort in the end; if you look for comfort you will not get either comfort or truth only soft soap and wishful thinking to begin, and in the end, despair.
Vipi tena ndugu yetu siye wenzako wa Maneromango hatukijui hicho Kidhungu. Au hutaki tumchague huyo Kikwete wako. ulichoandika hapo juu una maana gani!!??
 
Ushabiki wa kisiasa na upofu wa kuona pande mbili za shilingi.
Kipofu hawezi kuona hata pande moja! unamuonea sana Sir R. kwani ni kwa nini kwa nini ajijibu post zake nne mfululizo yeye mwenyewe. Aliyeligundua kosa hilo ANA AKILI SANA!!
 
KWANINI,hukuona option ya ku-edit post yako mpaka unajijibu hivyo mwenyewe?Uwe makini kuangalia options ulizonazo,ukianzia na ya 31st Oct.Unaweza kuwa manachama wa CCM bt u dont have to vote for the failures
 
KWANINI,hukuona option ya ku-edit post yako mpaka unajijibu hivyo mwenyewe?Uwe makini kuangalia options ulizonazo,ukianzia na ya 31st Oct.Unaweza kuwa manachama wa CCM bt u dont have to vote for the failures

It's not necessary to give out comments on everything that comes on our way.
 
Like what u just did Ernesto? Ungeweza kupita tu fyuuuu,au kuweka ka-smile??Its all about options.U too usisahau kupigia kura CHADEMA eeh (kampeni ya post kwa post imekolea)
 
Iam afraid its too late for you broda!...Keep these records in paper, tutazipitia mbele ya safari tukiwa naye kama rais!, na tutaona applicability wakati huo...
Kwasasa huwezi kubadili hata milimetre ya situation!
Pole, sina msaada zaidi na wewe!
Ahadi kwenye bajeti zipo, lakini hazitekelezwi.(Hakuthubutu kuendelea kuelezea hapo,alijua ni uongo).lmao!
 
Saa 2:10Am, Mtoa maada anaanza kazi baada ya kujipanga, anatoa post nne mfululizo.

Mtoa maada ni Kwanini [Join Sat Sept 2010]. Post namba 1
Mchangiaji wa kwanza ni Kwanini na amem_Quote Kwanini, Post namba 2
Mchangiaji wa Pili ni Kwanini na amem_Quote Kwanini, Post namba 3
Mchangiaji wa Tatu ni Kwanini na Amem_Quote Kwanini, Post namba 4

Hapo wataalamu wa fani ya intelligence tunaseama Mission failed, Reason Un-desired out put due to Contradictions, Action switch to Plan B to resolve the matter.

Saa 10.11Am, 8Hrs later after the first post, taarifa ya ku feli vibaya kwa Mission inawafikia walengwa,
Action switch to plan B.
Hapa tunasema poor planning of mission, lack of coordination and follow-ups

Plan B inaanza kama hivi, Tunamtoa Kwanini moja,tunaweka jina lingine in this case Ernesto Sheka, [Join date SUN OCT 2010,] ananza na post mfululizo:- Post namba 46, 47 52, 53. Hapa traffic Jam ndani ya JF inamuathiri na anakosa sequence. Wataalamu tunasema Uncalculated Hindrance has affect

To overcme the matter wanachange language, from Swahili to English kwa imani kwamba watu wengi hawaijui hivyo watapunguza upinzani. Hii ni poor thinking ability. Only Idiot can opt it

Moral: Watakapo kuja msiwapige kwanza na kuwakimbiza, wasomeni na kuwachunguza kwanza ili mpate kuwafahamu vizuri, kisha wapuuzeni na kuwatupilia mbali, maana hawata weza kuwashinda kamwe kwa kuwa mliwajua tokea mwanzo.

 
Hello

Hakuna Binadamu aliyekamilika hata kidogo, Hasa katika Mambo Binafsi, sio katika mambo ya utendaji, Mapungufu katika utendaji yanatakiwa katika kiwango cha chini sana kiasi ambacho madhara yake tunaweza kuyapuuzia, si madhara ya kufisha.

Fikiria juu ya wajenzi/mainginia wa ujenzi wa majengo, madaraja nakadharika, wanahitajika kuwa na ufanisi wa hali ya juu sana katika kazi zao ama sivyo madhara ya mapungufu yao ni gharama kubwa sana kwa jamaa, yanasababisha vifo na upotevu mkubwa sana wa rasilimali za kiuchumi.

Angalia Madaktari, marubani, madereva nakadharika, wanahitajika kuwa na uwezo wa kutosha katika kazi hizo, ama sivyo madhara yatokanayo na mapungufu wote tunafahamu ni ya kiwango gani, wenye roho nyepesi ufumba macho wasione, ama uziba masikio wasisikie.

Tunawaamini sana wataalamu hawa katika fani zao,lakini ukijaribu kuchunguza maisha yao binafsi, unaweza kutema mate chini, na kustaajabu uchafu ulio jaa katika maisha yao, ama mapungufu makubwa sana katika maisha yao binafsi hasa ya kifamilia.

Uongozi pia, unahitaji watu Makini, Jakaya ana mapungufu yake katika mambo binafsi, Docta slaa pia ana yake, na mimi nina yangu pia, labda makubwa kuliko ya docta slaa au kilaza kikwete. Katika tasnia ya uongozi Docta slaa yuko safi sana, anastahiri kupewa nafasi ya kusimamia idara ya uongozi na utawala katika taifa letu.

By the way, Kikwete amepata nafasi, na matokeo yake tumeyaona, katika siku zijazo, kwa namna baba huyu alivyotudisha watanzania nyuma kimaendeleo, na jinsi aliivyoichafua tunu ya uongozi katika taifa letu, watu watapata faraja japo kidogo kwa kuitemea picha yake mate na kuitukana.

Jakaya hafai kabisa kutuongoza, ameishindwa, hajui kuongoza. CCM Mlimtoa wapi huyu kilaza

Nikila mavi na wewe pia ule tafadhali.
 
Saa 2:10Am, Mtoa maada anaanza kazi baada ya kujipanga, anatoa post nne mfululizo.

Mtoa maada ni Kwanini [Join Sat Sept 2010]. Post namba 1
Mchangiaji wa kwanza ni Kwanini na amem_Quote Kwanini, Post namba 2
Mchangiaji wa Pili ni Kwanini na amem_Quote Kwanini, Post namba 3
Mchangiaji wa Tatu ni Kwanini na Amem_Quote Kwanini, Post namba 4

Hapo wataalamu wa fani ya intelligence tunaseama Mission failed, Reason Un-desired out put due to Contradictions, Action switch to Plan B to resolve the matter.

Saa 10.11Am, 8Hrs later after the first post, taarifa ya ku feli vibaya kwa Mission inawafikia walengwa,
Action switch to plan B.
Hapa tunasema poor planning of mission, lack of coordination and follow-ups

Plan B inaanza kama hivi, Tunamtoa Kwanini moja,tunaweka jina lingine in this case Ernesto Sheka, [Join date SUN OCT 2010,] ananza na post mfululizo:- Post namba 46, 47 52, 53. Hapa traffic Jam ndani ya JF inamuathiri na anakosa sequence. Wataalamu tunasema Uncalculated Hindrance has affect

To overcme the matter wanachange language, from Swahili to English kwa imani kwamba watu wengi hawaijui hivyo watapunguza upinzani. Hii ni poor thinking ability. Only Idiot can opt it

Moral: Watakapo kuja msiwapige kwanza na kuwakimbiza, wasomeni na kuwachunguza kwanza ili mpate kuwafahamu vizuri, kisha wapuuzeni na kuwatupilia mbali, maana hawata weza kuwashinda kamwe kwa kuwa mliwajua tokea mwanzo.


Safi sana kwamba umeusoma ujumbe.
 
Ukweli unaumaaaaaaaaaa.

Bango_mwembeyanga.jpg
 
Saa 2:10Am, Mtoa maada anaanza kazi baada ya kujipanga, anatoa post nne mfululizo.

Mtoa maada ni Kwanini [Join Sat Sept 2010]. Post namba 1
Mchangiaji wa kwanza ni Kwanini na amem_Quote Kwanini, Post namba 2
Mchangiaji wa Pili ni Kwanini na amem_Quote Kwanini, Post namba 3
Mchangiaji wa Tatu ni Kwanini na Amem_Quote Kwanini, Post namba 4

Hapo wataalamu wa fani ya intelligence tunaseama Mission failed, Reason Un-desired out put due to Contradictions, Action switch to Plan B to resolve the matter.

Saa 10.11Am, 8Hrs later after the first post, taarifa ya ku feli vibaya kwa Mission inawafikia walengwa,
Action switch to plan B.
Hapa tunasema poor planning of mission, lack of coordination and follow-ups

Plan B inaanza kama hivi, Tunamtoa Kwanini moja,tunaweka jina lingine in this case Ernesto Sheka, [Join date SUN OCT 2010,] ananza na post mfululizo:- Post namba 46, 47 52, 53. Hapa traffic Jam ndani ya JF inamuathiri na anakosa sequence. Wataalamu tunasema Uncalculated Hindrance has affect

To overcme the matter wanachange language, from Swahili to English kwa imani kwamba watu wengi hawaijui hivyo watapunguza upinzani. Hii ni poor thinking ability. Only Idiot can opt it

Moral: Watakapo kuja msiwapige kwanza na kuwakimbiza, wasomeni na kuwachunguza kwanza ili mpate kuwafahamu vizuri, kisha wapuuzeni na kuwatupilia mbali, maana hawata weza kuwashinda kamwe kwa kuwa mliwajua tokea mwanzo.


A great number of the disappointments and mishaps of the troubled world are the direct result of literature and the allied arts. It is our belief that no human being who devotes his life and energy to the manufacture of fantasies can be anything but fundamentally inadequate.
 
Back
Top Bottom