Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
Ngoja Prince Charles aje aone jinsi misaada yao inavyotumika kununulia mabomu ya machozi na pilipili badala ya dawa na madawati shuleni.
Kweli CCM ni janga la kujitakia. AR tunawapa support tulio mbali,msirudi nyuma mashujaa na historia itawakumbuka
Watamkwepesha magamba wajanja sana unaweza kuta tayari wamesha andaa miradi bandia akazungushwa uzunguni na kupelekwa kwenye hotel ya kitalii wakamdanganya hapa ndo tunalelea watoto yatima hawa magamba sio watu