GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
- Thread starter
- #41
Umeona wapi ushahidi kuwa wanakusanya TZS 400bn kwa mwezi za kodi?
Duh, yaani ww ni mvivu wa kufikiria na kusoma kiasi hicho ? soma taarifa za TRA za kila mwezi (nenda pale makao makuu watakupa), soma taarifa za BOT za kila mwezi hizo ziko kwenye BOT website download usome na utapata na mambo mengine humo ya kuhusu money in circulation, inflation, government expenditures, implementation ya fiscal and monetary policies etc