ndugu hao waliosema kuwa kuongezeka kwa ajira kumechangia mfumuko wa bei hawajui uchumi kabisa.mfumuko wa bei umesababishwa na mambo mengi mno ila kubwa zaidi ni geopolitics na economic revary between europe and fast growing economy of middle and far east. japo wanazuoni weng hawalijui hilo na ndo mana hata kulipatioa solution wameshindwa.