denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
Mie sie mtaalamu wa uchumi ila kuna mtaalamu amenijuza kuwa kuongezeka kwa ajira inaweza kuwa ni matokeo (result) ya inflation rather than sababu (cause) ya inflation. Pia anadai inflation sio lazima i-sustain high employment. Kwa mfano commitment ya serikali ya kuwepo kwa ajira nyingi inaweza kusababisha fiscal and monetary policies ambazo ni inflationary. Anachojaribu kutofautisha ni high employment as the result rather than the cause of inflation. Wataalamu mnasemaje?
ulichojuzwa umekifanyia utafiti au na we umekurupuka tu, uka copy na ku-pest??