Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Akiwa mkoani Arusha mgombea urais wa Chadema Dr W. Slaa amelalmikia jinsi chama tawala – CCM – kilivyoleta hali ya vitisho kwa wafanyabiashara pamoja na wale wadogo wadogo kwa kuwafanya wasimike bendera za CCM kwenye sehemu za biashara zao kwa kuogopa kubughudhiwa.
Amesema akiingia madarakani atapiga marufuku kusimika bendera za vyama vya siasa kwenye sehemu za biashara ili wafanyabiashara waendeshe shughuli zao kwa uhuru bila bughudha zozote.
Alishangaa jinsi CCM ilivyoileta hali hii miongoni mwa wafanyabiashara.
Amesema akiingia madarakani atapiga marufuku kusimika bendera za vyama vya siasa kwenye sehemu za biashara ili wafanyabiashara waendeshe shughuli zao kwa uhuru bila bughudha zozote.
Alishangaa jinsi CCM ilivyoileta hali hii miongoni mwa wafanyabiashara.