Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
Kuna wakati niliwahi kusema kuwa hakuna CCM "ya kistaarabu" tangu zama za ASP na TANU.
Ukiona CCM inaonekana ni ya kistaarabu jua kwamba hapo hofu ya kutolewa madarakani inakuwa haipo.
Angalia kwenye Kila chaguzi, ukiona hakuna mapambano kati ya vyombo vya Dola na vyama pinzani Kwa CCM jua hapo CCM inashinda.
Jinsi Hali ilivyo Kwa Sasa, CCM ishaanza kuona mbele ya safari itashindwa.
Zile zama za GIZA zinarejea kwa kasi sana. Wale watekaji, wauaji na watishaji Wa jamii, WATARUDIA KAZI ZAO.
Ukiona CCM inaonekana ni ya kistaarabu jua kwamba hapo hofu ya kutolewa madarakani inakuwa haipo.
Angalia kwenye Kila chaguzi, ukiona hakuna mapambano kati ya vyombo vya Dola na vyama pinzani Kwa CCM jua hapo CCM inashinda.
Jinsi Hali ilivyo Kwa Sasa, CCM ishaanza kuona mbele ya safari itashindwa.
Zile zama za GIZA zinarejea kwa kasi sana. Wale watekaji, wauaji na watishaji Wa jamii, WATARUDIA KAZI ZAO.