Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Kwa kadri CCM wanavyojitahidi kukuruka nao CDM wanavyochochea mageuzi,
Saa izi ni Vuguvugu la kijani Vs M4C.
Saa izi ni Vuguvugu la kijani Vs M4C.
Acha CCM wakashif wawezavyo. Mimi napata taarifa live toka Karagwe. watu watatu wameshindwa kunitumia picha ili niweke. Natumaini kufika kesho tutakuwa na picha hapa. Mafunzo hayo yanaenda sambamba na mkutano wa mashauriano ya mkoa wa Kagera ambapo mh. lwakatale atakuwa wilayani humo kwa siku nne hadi 25/11/2012. Mkytano huo wa mkoa una wajumbe wasiopunguaa 100.
hadema Vema.
Kaenda kufungua mafunzo au kapeleka posa ukweni?
Hii taarifa haina maana yoyote labda ingia zaidi ndani tunaweza kupata kitu cha kuchangia!!!!
Nilisahamu mama yako anatokea upande ule. Kwa hiyo atakuwa baba yako wa kambo?
Sijasema mie, wewe ndo umemuona kapeleka posa !... Alooooooo??
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amepokelewa kwa shangwe na Wananchi wa Karagwe. Msafara wa Dr. Slaa ulikuwa na magari yapatayo 50 na pikipiki zaidi ya 80. Dr.Slaa yuko Wilayani Karagwe kwa ajili ya kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti na Makatibu wote wa Mikoa wa CHADEMA kutoka Tanzania Bara na Visiwani. Mafunzo hayo yataanza kesho tarehe 22 hadi 23 Nov 2012. Picha zitakuja soon kuna shida ya Matandao kidogo
Mageuzi gani unayozungumzia wewe?????!!!!!
Mageuzi gani unayozungumzia wewe?????!!!!!
Dr.slaa namfananissha na kipande cha chupa mfano wa almas ambayo watanzania tumedanganywa kuwa ni almas kumbe ni chupa tukaacha almasi halisi
Amefunika nn acheni uongo kwa mvua iliyopiga hata magari yalishndw kutembea labda alipanda punda