chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 903
Hakuna mtanzania hajawahi kuumwa malalia( ngalau wa miaka 3 na zaidi) M4C itawafikia wote kama Malaria
Hii taarifa haina maana yoyote labda ingia zaidi ndani tunaweza kupata kitu cha kuchangia!!!!
Amefunika nn acheni uongo kwa mvua iliyopiga hata magari yalishndw kutembea labda alipanda punda
sio karagwe kaka mpaka leo hata CCM wenyewe hawaelewi walishinda vipi karagwe, kamuulize gosbert blandes mbunge wa karagwe anajua bila shaka yoyote kwamba kama sio dola yeye sio mbunge wa karagwe, ningeshangaa kama dr slaa asingepokewa kwa nguvu pale kwa sababu bado watu wanaamini lile ni jimbo la Chadema kama ilivyo shinyanga mjiniNilishasema humu F, msiwaamini watu wa vijijini, kwenye kura hawako hivyo! The most unprincipled guys. wanabadilika kwa Kanga, kofia and the like!!!!!
Eti mkuu, ukweni kabisa? haiwezekani.Ukweni ?
sio karagwe kaka mpaka leo hata CCM wenyewe hawaelewi walishinda vipi karagwe, kamuulize gosbert blandes mbunge wa karagwe anajua bila shaka yoyote kwamba kama sio dola yeye sio mbunge wa karagwe, ningeshangaa kama dr slaa asingepokewa kwa nguvu pale kwa sababu bado watu wanaamini lile ni jimbo la Chadema kama ilivyo shinyanga mjini
Je wamejiandikisha kupiga kura?Hongereni sana wana karagwe. Tuwaoneshe watanzannia wengine tulivvyotayari kwa mageuzi.
Je wamejiandikisha kupiga kura?