Mkuu,nadhani ulimaanisha WAMETUMWA.kaka wengine wametuma na magamba
Wadau kwanini pia tuaianzishe utaratibu wakujuliana hali nakusuluhisha matattizo kwa kutumia skype unaongea na mtu unamwelewesha vizuri kuhusu shida yake nadhani tumezoea bila kuona mwl laivu hatuelewi vizuri hili ndo tatizo nimeliona humu ndani
Wadau kwanini pia tuaianzishe utaratibu wakujuliana hali nakusuluhisha matattizo kwa kutumia skype unaongea na mtu unamwelewesha vizuri kuhusu shida yake nadhani tumezoea bila kuona mwl laivu hatuelewi vizuri hili ndo tatizo nimeliona humu ndani
Mkuu skype tena? Unaweza ukajikuta unaongeA na wanausalama bure hasa sisi wazee wa kuchakachua a.k.a wachakachuuz.