miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Wanatia mishawasha kazi zinaenda tu
Mbinguni havitakuwepo
una ushauri gani kwa sisi walimu.....?
![]()
Umenikumbusha nganza siku za michezo, siye tulikua tunavaa vibukta hivyo balaa.Popote ulipo uliekua mwalimu wetu wa michezo nazani alikua anafuraia sana kuona mapaja yetu.
Alikuwa hawali???
Umenikumbusha nganza siku za michezo, siye tulikua tunavaa vibukta hivyo balaa.Popote ulipo uliekua mwalimu wetu wa michezo nazani alikua anafuraia sana kuona mapaja yetu.
Msitutamanishe japo tunajua tamaa mbayaChunga tamaa mbaya
wewe apo ni yupi kati yao kama uyo shot chesesii mwe upee anaonyesha mtamuu kweli
Sasa vimini viwe vinavaliwa wapi.........?.......kwa mfano........
Preta baa au matembezini.
kutesa kwa zamu
aaaaaaaargh!!!!!!!! ngoja nikuachie mtt wa tanga.
Mchukue tu nimepata kitu kipya yeye nafas yake haipo kipya kinyemi
aiyaaa, ntake radhi sweetie wangu, huyo ni dadaangu kabsaaa!
Hicho kipya cha wapi tena baki njia kuu