Skirt fupi Maofisini

Skirt fupi Maofisini

Njia kuu yako ndo mchepuko wa mwenzako kila mtu akibaki njia kuu huoni foleni ake itakavokua halaf njia kuu ina miba ahhhhahhha CYBERTEQ alikua wa kupotezea muda siku ziende alieshikilia uskani yupo hasa hata yy anamjua isikupe shaka.hiyoooooo

Afanaaleki!!!
 
Last edited by a moderator:
Chumbani nivae sketi fupi........!!!!......jamani jamani..........
Well.......zinavaliwa ndio........ila....

chumbani ndio nzuri hata ukitaka baby akupe hela ya kutengeneza nywele hajiulizi mara mbili...lol
 
Hahaaa ulivyoongea kwa huruma... ngoja nianze kesho kuvaa ndefu


Hahahahahaaaaa,, umeshashikishwa meza na boss wewe sasa umezeeka na boss hakutaki tena ndio mana unataka ujidai kuvaa ndefu kuanzia kesho.
Mbona kazi mngejitambua .......nyie wanaume tungekuwa tunawapigia magoti daily.
 
Hahahahahaaaaa,, umeshashikishwa meza na boss wewe sasa umezeeka na boss hakutaki tena ndio mana unataka ujidai kuvaa ndefu kuanzia kesho.
Mbona kazi mngejitambua .......nyie wanaume tungekuwa tunawapigia magoti daily.

Unataka maneno na mimi au????
 
Kama mtu hawezi kuhimili sketi fupi ofisini ni bora ashike jembe akalime shambani.

Wengine ndo furaha zetu.

Kula tusile, hata kwa macho tusisindikize?

Cc Heaven on Earth
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom