Skirt fupi Maofisini

Skirt fupi Maofisini

Mkuu Tyta hapo namba tatu kutoka kushoto ni ugonjwa wangu aisee, naweza kukabidhi ufunguo wa gari

Dah kaka mbona ndio michongo yangu hiyo...amekaa kichagga chagga...utakuta anaitwa Aika au Kekuu...ah! maisha haya.
 
kuhusu mavazi ni uamuzi wa mtu avaeje ili kujisitiri mwili wake ila kuna wengine wanapitiliza jamani
mpaka wanabaki kama Mungu alivyowaumba mm mwenyewe huwaga sipendi tabia za aina hiyo
kwanini mwlili wako usiupambe kwa kuvaa nguo zinazositiri mwili mpaka unabaki kuwashangaza wengine

Na isitioshe wako ambao miili yao kama ya kwangu yaani wanene sasa hapo jamani ukivaa nguo fupi inakuwaje jamani mwanamke mwenye tabia njema na mstaarabu ndiye mwenye kujistiri mwili kwa kujpamba ivile upendavyo na kujipamba kwa nguo za heshima sio nasema uvae nguo ndefu kama bainiani la hasha vaa nguo njema na yenye mvuto kwa watu itakayokufanya uende na wakati ila yenye hishima kwa mbali bestito msinihukumu wala msijisikie vibaya ni maoni yangu tu mabestito
Habari za jumapili wana Jamiiforums.

Moja kwa moja nianze kuwaomba dada zangu ambao wanatuvalia vimini ofisini punguzeni au acheni jamani wengine tuna mioyo ya udongo kwa sababu mnapofanya kazi na sisi halafu karibia mapaja yote yapo nje jamani mnatufanya tufanye kazi ambazo hazina ufanisi maana mnatunyima concentration jamani vaeni basi sketi ndefu au kusema sketi fupi inaendana na mambo ya ofisini.

Jamani naombeni wakina miss chagga,evelyn salt, masai dada na wadada wengine mje na mpango wa kuvaa sketi ndefu kwa kushauriana na wengine muwape somo na kaka nyinyi mnavaa jamani acheni wengine jamani tuna mioyo ya petroli.

NB-niliowataja sio kwamba ndio wanavaa sketi fupi, nimewaomba wawashauri wasichana wengine japo mavazi ni uamuzi wa mtu lakini hapana jamani mtuuonee huruma jamani ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi.

NI OMBI TU HILO JAMANI
 
loading error...............................
 
Hahhahhaa umenikumbusha wakati nafundisha aiseeee, niliwafaidi sana sana. Si wananikalia uchi wenyewe, nilikua nawaaambaia kabisa mbele ya darasa kuwa asanteni nimeshawachungulia naomba mkae vizuri sasa tuendeleee na somo. I wish ningefundisha darasa kama hili. Nisingeacha ualimu hata kwa dawa si kiherehere chao wenyewe? kwani nimewatuma?
Na ungekufa masikini.
 
Habari za jumapili wana Jamiiforums.

Moja kwa moja nianze kuwaomba dada zangu ambao wanatuvalia vimini ofisini punguzeni au acheni jamani wengine tuna mioyo ya udongo kwa sababu mnapofanya kazi na sisi halafu karibia mapaja yote yapo nje jamani mnatufanya tufanye kazi ambazo hazina ufanisi maana mnatunyima concentration jamani vaeni basi sketi ndefu au kusema sketi fupi inaendana na mambo ya ofisini.

Jamani naombeni wakina miss chagga,evelyn salt, masai dada na wadada wengine mje na mpango wa kuvaa sketi ndefu kwa kushauriana na wengine muwape somo na kaka nyinyi mnavaa jamani acheni wengine jamani tuna mioyo ya petroli.

NB-niliowataja sio kwamba ndio wanavaa sketi fupi, nimewaomba wawashauri wasichana wengine japo mavazi ni uamuzi wa mtu lakini hapana jamani mtuuonee huruma jamani ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi.

NI OMBI TU HILO JAMANI

daah, kaka unanikumbusha siku moja nafanya mtihani, katika kuangaza angaza macho si nkaona dem kavaa skrt fup mapaja yako nje, hakyanan point zote zilipotea, yaan nlkoswa koswa na supplmntary, dada zet muwe na huruma
 
una ushauri gani kwa sisi walimu.....?
1175369_495160357236073_595876326_n.jpg

sisi walimu huwa tuna walindia tu.....
 
ila ni kweli wengi walioajiriwa au kuwa maofisini wamefanya vimini ni sehemu ya sare ya ofisi hivyo kuna kila sababu ya kufanya malekebisho ya huo utamaduni japo ni uamuzi wa mtu mwenyewe
 
ila jaman kuna watu wanapiga vimini hadi aibu..... yani unakutana na mwanamke mwenzio hadi aibu jinsi alivyovaa loo!!! shida hii jaman tuwe tunajisitiri kwenye mavazi sio poa kujiachia achia miili yetu khaaa
 
Back
Top Bottom