Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Kila mtu eti na BB, why? why?
...sent from...halafu huipendi!! Umenichekesha.Hata mimi sizipendi kabisaa!!
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Utawajua tu wenye nazo. ......sent from..... ila enzi zake mlikuwa mnatesa, ila sasa kiboko yake android au iphone!!!Hahahahaha poleee
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
...nakuona, ....sent from...Yaani hiyo ndio sababu ya kuichukia hahahah mi nimeamua chukua bb ili niondoke kwenye ubishano wa apple na androids so nikaona niingie rim ila bbm sihitaji
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kwani wewe ni gaidi mpaka uwe mwoga kiasi hicho?Mi naziita simu za kampuni, server zote za bb zinamilikiwa na kampuni kwa hiyo wanaweza kufanya watakavyo bila wewe kujua
Hazifai kwa confidential data especially kwa mtu kama mimi ninayejifunza hacking and crackingKwani wewe ni gaidi mpaka uwe mwoga kiasi hicho?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kila mtu eti na BB, why? why?
Mi siyo sizitaki, bali sina hamu nazo kabisaaaaa!