CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Utoto,kibri na umbumbu unaanza kujionyesha kwa mawaziri wa jk..baada ya kauli tata ya jana ya mzee wa twiga wa ngorongoro kwamba "ccm siyo mama yangu"leo tena mwingine kaibuka eti pamoja na kuvuliwa uwaziri hawezi kua ombaomba...kauli hii kaitoa mzee wa vibatali(Ngereja)kwenye moja ya maduka(supermarket)alipopewa pole na dada mmoja ambaye ni muudumu wa duka hilo...sasa hizi kauli zinaonyesha ni kiasi gani walivyochuma vya kutosha na katu ata wakiishi miaka 200 hawawezi kupata shida ya pesa.