Siwezi kutongoza...

Siwezi kutongoza...

mkuu shalet.. kutongoza ni kazi rahisi sana hapa duniani.. japo inahitaji knowledge na techniques nyingi!

tulishaambiwa na tukashuhudia kwa macho kwamba wanawake ni viumbe dhaifu.. hilo lajulikana!

mi sometimes nasemaga kwamba, kutongoza sometimes ni ''incident'' ama acciedent,

unaweza ukakuta unamtongoza msichana wakati ambao ahata hukutegemea kabisa na ukakubaliwa... hilo moja..

..ntarudi baada ya reputation!
 
Last edited by a moderator:
Mambo saaaaafi kaka, sijakuona kama siku mbili ivi

kaka mi nipo bana.. nilikuwa nafanya utafiti juu ya filming katika industry yetu ya bongo movie...!! mwaka wetu huu bana!!
 
Last edited by a moderator:
kaka mi nipo bana.. nilikuwa nafanya utafiti juu ya filming katika industry yetu ya bongo movie...!! mwaka wetu huu bana!!

Aaaah good luck
Kwaio mnatoa kitu kipya?
 
Last edited by a moderator:
Aaaah good luck
Kwaio mnatoa kitu kipya?

kimtindo mkuu..! we need change sometimes!!

haka ni kaproject kadogo tu kanakoelezea maisha ya wanafunzi wa elimu ya juu!
 
mi kwa kweli sikubali hata kidogo!!!

nishindwe kutongoza? kweli? sasa ntailisha nini dushe ili ikue na afya njema?

ngoja nianze rehearsal..!!
DEMBA mambo...!! samahani kwa usumbufu! naitwa Excel!

naomba niongee kidogo tu na wewe besti!
 
Andika barua ya kuomba kuwa wapenzi kama vile unaomba kazi
 
Raph niaze kuandika YAH::........ sasa nasubiri wajilete kama zamani.
 
Last edited by a moderator:
mi kwa kweli sikubali hata kidogo!!!

nishindwe kutongoza? kweli? sasa ntailisha nini dushe ili ikue na afya njema?

ngoja nianze rehearsal..!!
DEMBA mambo...!! samahani kwa usumbufu! naitwa Excel!

naomba niongee kidogo tu na wewe besti!

haaa haaa haa we Excel bana acha ubahili kuna chuo ambacho kinatoa kozi ya mambo ya utongozaji......
 
Last edited by a moderator:
Kutongoza unapoteza muda mwingi...pata number mtoe out...lipia room gegeda kwiaha kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom