Siwezi kutongoza...

Siwezi kutongoza...

Akishindwa kabisa awaambia '' ..twende tukagusanishe makojoleo ..'' watakubali.
 
haswaa siku hizi hatutongozani ikiwa ninahisia na wewe tunajikuta automatically in a relationship

sure secondary na primary ilikuwa hivyo na sikujua kutongoza kwa sababu hiyo sasa nikijaribu kutongoza hali innakuwa mbaya dakika za mwanzo kabisa
 
Ukikutana na demu unaemtaka mwambie unampenda sana, ukinywa maji unamwona kwenye glass na ukilala unamwota
Jaribu hii ilinisaidia sana kipindi nilipokuwa sina hela.
 
si ndio hapoa anataka mambo ya kuomba namba ya simu na usiku kutaka kumpigia simu masaa mawili wakati hata hela ya vocha harushi,siku hizi unamtoa dinner au lunch mara ya kwanza,mara ya pili mnaenda sinema mara ya tau beach ya nne club kama ni watu wa hivyo alafu ndio ntoleee hiyo,mkiamka asubuhi mnabdilishana majina mnaanza kuitana `baby`
Mi sasa nina bahati mbaya mara nyingi nikienda out hata uwanja wa ugenini wale wanaokunywa glass za wine unasema labda hawa ntawamudu ndio hawataki atakunisikia na chupa langu la bia, hila wale wanaokuja kununua machupa ya wine ndio utawaona hao najikuta o-hoo, msaada kwenye tuta.
 
Kiongozi ukicomplicate lazima uzingue..ukimfata manzi usiwe serious kiviilee kama vile umejipaanga we nenda hata kwa masihara tu unashangaa unabeba..mzigo..huoooo..uko nao maghettoni..
 
Tumia SUPER SHAFT...Then NENDA MATEMBEZINI,...Ukishindwa kutongoza kaogee damu ya mende.
 
Koh koh koh, "yahaya unaishi wapiii kwani jina halisi naniiiii".....

tufanye yahaya ndio Excel.. hahahaaaaa!!! niko juu ya mnazi!!

mambo vipi mkuu?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom