Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
haituhusu
kama kwamanno huwezi tumia atavitendo.mfano..unapokuwa na umpendaye jalibu kutumia macho.au matendo yatakayoonyesha uhitaji wako kwake.mpelekee zawad zinazofikisha ujumbe.kama ni mwelewa na yeye kama atakuwa na hisia na wewe atarespond either kwa ishara or kwa maneno.ukiona hivyo unaweza ukafunguka kwa maneno sasa....nihayo tuuu...ukikosa kabisa njoo kwangu..
hapo kwenye bold pamenivutia..sihitaji kukosa ndipo nije kwako hata sasa naweza kuja.kama kwamanno huwezi tumia atavitendo.mfano..unapokuwa na umpendaye jalibu kutumia macho.au matendo yatakayoonyesha uhitaji wako kwake.mpelekee zawad zinazofikisha ujumbe.kama ni mwelewa na yeye kama atakuwa na hisia na wewe atarespond either kwa ishara or kwa maneno.ukiona hivyo unaweza ukafunguka kwa maneno sasa....nihayo tuuu...ukikosa kabisa njoo kwangu..
nahitaji kuwa na mchumba kwa sasa ninasoma miaka minne na umri unakwenda najua nikirudi kitaa changamoto za huko zitafanya nisifikirie sana kuhusu mchumba kwa hiyo muda sahihi ni sasa.Hatari! ! Si ungeandika tu unatafuta mke wa kuoa humu jf kuliko kutaka ufundishwe kutongoza?? Hebu maliza masomo bhana! !
habarin,
Pamoja na kuwa na wapenzi mbalimbali kwa muda mrefu nimegundua siwezi kutongoza kwani hata hao niliokuwa nao niliwapata kwa sifa za class akili hasa uwezo wangu wa hesabu na physics sasa na uongozi nilikuwa headboy hivyo walikuwa wanajileta tu nilipofika chuo hali ikabadilika ghafla nikitongoza nakataliwa kwa miaka mitatu nilimpata demu 1 tu kati ya 6 kitu kinachofanya nijihisi vibaya hasa ukizingatia nahtaji mchumba kwa sasa nashindwa kujua nifanyaje alie experience hii anisaidie kabla sijaenda kuombewa nilifikiria kurud kwa ma ex lakin wengine wameolewa mmoja kazalishwa na sitak kuoa mtu mwenye mtoto.
habarin,
Pamoja na kuwa na wapenzi mbalimbali kwa muda mrefu nimegundua siwezi kutongoza kwani hata hao niliokuwa nao niliwapata kwa sifa za class akili hasa uwezo wangu wa hesabu na physics sasa na uongozi nilikuwa headboy hivyo walikuwa wanajileta tu nilipofika chuo hali ikabadilika ghafla nikitongoza nakataliwa kwa miaka mitatu nilimpata demu 1 tu kati ya 6 kitu kinachofanya nijihisi vibaya hasa ukizingatia nahtaji mchumba kwa sasa nashindwa kujua nifanyaje alie experience hii anisaidie kabla sijaenda kuombewa nilifikiria kurud kwa ma ex lakin wengine wameolewa mmoja kazalishwa na sitak kuoa mtu mwenye mtoto.
amu inawezekana pesa tatizo ila secondary sikuwa na kitu bora chuo kuna boom lakin wap nashangaa sina mvuto kabisa kwa wadada sasa.
huyo mmoja alikuwa ana jini mapesa nilikuwa naliwa bila kula.Huyo 1 uliyempata hujamuoa? Bado unataka wengine?
Hata hivyo rekodi yako ni nzuri sana.
Kuna jamaa alitongoza 6, na alikataliwa na wote 6.
duh hata mademu wa kawaida mkuu embu jaribu kwenda zenji ukoge maji yaa nungwi kidogo yanasaidia yaleligi ya nyumbani nimecheza sana secondary nilikuwa napendwa sana but chuo mambo yamekuwa upside down hata mademu wa kawaida wananizingua.
haswaa siku hizi hatutongozani ikiwa ninahisia na wewe tunajikuta automatically in a relationshipMbona ishu za kutongozana zilishaisha siku nyingi na wewe? Watu wazima tunatoana "out" tu, na mambo yote yanaishia huko huko!