excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
haaa haaa haa we Excel bana acha ubahili kuna chuo ambacho kinatoa kozi ya mambo ya utongozaji......
ohh!! sorry kwa mara nyingine besti..!
mmh! unajua, sina dhumuni la kukupotezea muda sana, ila ukweli ni kwamba,
kila ninapokuona, hata pale unapokuwa mbali nami.. najisikia sana kuwa nawe DEMBA!
please usichukulie kama utani kwa vile tunafahamiana! DEMBA nimetokea kukupenda kwa muda mrefu sasa!!
naomba unielewe besti!! please tafuta ventricle ama auricle yoyote uliweke PENDO langu kwako!
uff!!
Last edited by a moderator: