Mm nikimpata singomaza anaejielewa... naoa! Hata waliooana Bikra nao pia wana changamoto zao na ndo wanageuka SINGOz! Ndoa/Mahusiano hazina SI Unit!Wamekushikia bunduki ni lazima uoe singo Maza kijana?
Bwashee wakuwakataa sio singo maza, wakuwakataa ni omba ombaYan wew uko sehemu salama ... mwanamke singo mother na anae omba hela bila mpangilio ni scam kabisa
Sawa sawa!Hizi changamoto zingine nizakujitakia
Umeniwahi, nilihisi kashikiwa panga!Kwa hiyo nani kakushikia bunduki???
Kaka .. japo maamuzi ni yako.. ila ushauri tu .. changamoto ambazo utazipata kwa mwanamke asie single mother ni tofauti na ambae hujamkuta na mtoto.. kuna vitu utakutana navyo ambavyo vitakufedhehesha sana.Mm nikimpata singomaza anaejielewa... naoa! Hata waliooana Bikra nao pia wana changamoto zao na ndo wanageuka SINGOz! Ndoa/Mahusiano hazina SI Unit!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwashee wakuwakataa sio singo maza, wakuwakataa ni omba omba
Hakuna shida mtu yoyote kusema preferences zake. Jf ni jukwaa huru. Hakuna ambae yupo hapa jf kwa ajiri ya kukufurahisha wewe. Kama mtu kaandika kisichokupendeza, usifungue post yake au pita kimya kimyaWamekushikia bunduki ni lazima uoe singo Maza kijana?
Wewe ni single mother au baba wa kambo?Una miaka mingapi ya umri wako?
Si kila uliskialo kwa ubaya litakuwa na ubaya kwako,wengi walio lea watoto wa kambo wamepata faraja kutoka kwa hao watoto kuliko watoto wa shahawa zao.
Usikufuru, inawezekana hata wewe umelelewa na baba wa kificho baada ya baba yako mzazi kusinzia kuwajibika, mama akajiongeza kwa kufanya biashara huku mtaji na gharama zingine zikisuruhishwa na mwanaume mwingine kama misaada.
Mama zetu wametutunzia siri za mapito ya maisha yetu,tuwaheshimu.
Wanani chukia kwa kuwashirikisha malengo yangu kaka ..Hakuna shida mtu yoyote kusema preferences zake. Jf ni jukwaa huru. Hakuna ambae yupo hapa jf kwa ajiri ya kukufurahisha wewe. Kama mtu kaandika kisichokupendeza, usifungue post yake au pita kimya kimya
Kuwepo changamoto kwenye kila mahusiano sio sababu ya kufanya gamble kwa mwanamke ambaye tayari ushaona redflag. Regardless of future uncertainty, do your homework.Uko sawa, lakini hakuna uhusiano usio na changamoto.
Ooh sawa nipe tofauti ya kitabia kati ya single mother na mwanamke ambaye bado hajapata mtotoNamba 1 na 2 ndio majibu sahihi