Siwezi kuoa kwa hali hii

Siwezi kuoa kwa hali hii

nyie ambao hamtaki kuoa ndo mnao wagonga wakezetu nyie mmenogewa ndo maana sasa hata kuoa mnaogopa na kama si wake zetu watoto zetu maana huwa mkaulizenu eti ''KAMA NA UHAKIKA WA KUPATA MAZIWA ANY TIME I WANT WHY TO KEEP A COW''

mbumbambu thaana
 
Juzi nilitoka ofsn na dada mmoja tukaenda kwangu kwa lengo la kuchukua document flan mida ya lunch. Kufika karibia mda wa kuondoka et kaanza kusema najisikia naumwa gafla kama vp nilale hata nusu saa. Na alikua kalegea sana. Nikawaaaaaza nikagundua nisipokuwa makini nitainywa ile sumu ya mke wa mtu. Najua alinidharau na yupo humu but potelea mbali na lengo lake mi namheshimu tu kwa sababu ni mke wa mtu. Kwa hiyo mtoa mada uko mule mule
 

Oh I pity you, you small minded chump, do you remember old tales.. Sungura akamwambia Fisi twende kwa Kobe?

Unashanga Kuku of course kuna mpaka Kenge, Mbwa Farasi n.k unaweza kuamua kwa maneno yako ujiweke kwenye kundi lipi, uwezo wa kuku kutunza kumbukumbu ya namba mwisho huwa tatu.
Sipendi kumjadili mtu kuliko maswala.

Na ndio maana nilisema hii story tungwa inaenda kuharibu mind set bila mtoa mada kujua kulingana na ukuku wake. Angalia paragraph mbili za mwisho.
 
nioe mimi kazini kwangu wote ni wakinamama au hapo pia unahisi nitasagwa?
 
Hujawa tayari sema usiseme huoi, na huyo mchafu wa tabia anaekuelezea na wewe Dume zima unasikiliza eti hawatumii kinga eti wanafanya kinyume na maumbilee, wanaume wawili mmekaaa mnahadithia pumba.. Sasa wewe ukihadithia unajisikiaje Kama Rijal kweli au unamuonaje alikuja kwambia?
 
Kuoa usikurupuke, ukikurupuka unaweza usije oa tena maishani mwako.

Nimegundua ndoa za wa zamani zilidumu sana kwasababu walikuwa wanatambua umuhimu wa ndoa ila kwa sasa ndoa nyingi(ingawa si zote) zipo kimaigizo, mkumbo, tamaa, kutoa mkosi n.k, ndio maana kudumu maisha ya ndoa inakuwa mtihani kidogo. Mfano hai ni huu uliouleta

aaahgrrrrr! Hakuna cha kukurupuka wala kunyatia. Maadili yamemomonyoka hakuna utu tena hakuna heshma tena. Kizaz chote kimeoza.

Zaman ukihesabu mabint kumi wa miaka 15 hadi 20 unakuta zote ni bikra au 8 n bikra lakn sasa hvi ukichukua hao hao 10 hukuti bikra hata moja wote wamezibuliwa sasa hapo kuna mke mwema?

Sasa hvi sio wanawake wala sio wanaume wote tumeoza.....

Na uskute huyo mtoa maada ni miongon mwa wanaogegeda wake za watu ndio maana anaogopa ile kauli ya kila aangamizaye kwa upanga......

Yeye amejuaje kuwa wanazibuliwa vyoo? Hayo malipo ya gest amejuaje kuwa wanalipahaohao wake za watu..

Haya maisha n kufungua moyo tu, kujitoa ufahamu , kujifanya wanagongwa wa wenzako ila wakwako hagongwi ila ukijfanya kufuatilia utakufa siku zisizo zako walah
 
Hujawa tayari sema usiseme huoi, na huyo mchafu wa tabia anaekuelezea na wewe Dume zima unasikiliza eti hawatumii kinga eti wanafanya kinyume na maumbilee, wanaume wawili mmekaaa mnahadithia pumba.. Sasa wewe ukihadithia unajisikiaje Kama Rijal kweli au unamuonaje alikuja kwambia?

sio kwamba anaambiwa mm naona hata yeye ni mshirik mzur tu. Anacho kiogopa hapo n ile kauli ya muosha huoshwa au kila angamizae kwa upanga ataangamia kwa upanga......
 
Hao wanawake wasiojali zama za magonjwa yasiyotibika wanasagana?

hapa ndipo wananishangaza ....
Wanakwepesha ukweli wa kuwa ss hikki kizazi tumeoza..

Sisi wanaume ndio tunaowatongoza wanawake na inafikia hatu anakwambia nmeolewa lakn tunakuwa ving'ang'aniz mpaka mdada wa watu anashindwa achomokee wapi anaamua kukutuliza kilio tena wenyewe tunakuwa wa kwanza kusema wanawake hawajatulia
 
Hakuna kitu kama hicho. Kampuni gani binafsi wanamuda wa kupoteza hivyo. Mapenzi gani ya one hour. Hata kama watu wanachepuka siyo kihivyo. Usiwaogopeshe watu

Mkuu 10 minutes is very enough kufanya ngono if wote mmeamua kuna watu wanafanya mapenzi ofisini, chooni, kwenye magar binafsi, dont think they take hours, swala ni utayari wa wahusika, so hilo la lunch hours is very possible mana wote tunajua lunch ni 1hr or more
 
Mkuu 10 minutes is very enough kufanya ngono if wote mmeamua kuna watu wanafanya mapenzi ofisini, chooni, kwenye magar binafsi, dont think they take hours, swala ni utayari wa wahusika, so hilo la lunch hours is very possible mana wote tunajua lunch ni 1hr or more

Mkuu nashukuru kwa kuwafungua mind, coz hawaamini...
 
Mi nakushauri uoe mwalimu, mwalimu hanaga lunch time muda wa lunch ye yupo nyumbani na familia....kwi kwi kwi promo at work!!!!

aiseeeeeh!!!!!!!

kwa ile video ya wajapan uliyonitumia , nimeamini unaweza ukatombewa kwenye tip of your nose na usistukie khaaa.......

itabidi zitengenezwe chupi zenye alarm.
 
Kinyume Na Maumbile? We Umejuaje Au Wakirudi Kutoka Gesti Huwa Unawakagua Huko Nyuma Kwao?
 
Back
Top Bottom