Siwezi kuoa kwa hali hii

Siwezi kuoa kwa hali hii

Mleta mada yupo sahihi siku hizi wanawake wapo loose sana mbali ya kwamba hizi ni zama za magonjwa yasiotibika, hawajali kabisa.
 
Thread za kizushi utazijua tu...kuna ofisi zinabana watumishi kama za private...mpaka mpate masaa mawili ya kuwalala wake za watu?...kama mekosa wa kuoa acheni kukashifu ndoa za watu...
 
Hakuna kitu kama hicho. Kampuni gani binafsi wanamuda wa kupoteza hivyo. Mapenzi gani ya one hour. Hata kama watu wanachepuka siyo kihivyo. Usiwaogopeshe watu
 
yawezekua tokea zamani wanawake walikua wanachepuka ndio maana mzee kama kasafiri wakati wakurud anatuma kwanza koti nyumbani,hapo mama anajua mzee karudi kama kulikua na kisicho chema anakiondoa.ndoa inadumu mpaka wanaadhimisha jubilee ya miaka 50 ya ndoa. usimfuatilie mkeo kamwe.
 
Wadau, binafsi sijaoa si kwamba sipendi; napenda sana ila kila nikilifikiria napata kigugumizi kulichukulia hatua.

Nafanya kaz kwy tasisi binafsi, jambo moja huwa linaniumiza sana kwa mda mrefu & now its too much, hapa kazini wanawake walio olewa tena na pete zao vidoleni plus watoto, wanashindwa kujali heshima walionayo, wao ndo wanatoka na vijana mida ya nchana kwnda guest na kuwasaliti waume zao. Hii ni sample I hop km hapa ipo basi hata ofisi nyingine IPO...

Bad enough wanaotoka nao wanawafanya vibaya hadi kinyume na maumbile. Tena ghalama wanalipa wasaliti wenyewe. Waume zao wanajua wapo kazin jioni wanarudi kimyaaa, mme anajua nimempata mke, du kumbe hamna kitu. mbaya zaidi hata kinga hawatumii....

Laiti km waume wangekuwa wanawanyemelea wake zao wanavyo behave wawapo kazini ndoa zingeisha walai!

Hakuna hata matumaini km huu usaliti utakuja isha, mliokwisha oa msiwaamini wake zenu labda kwa 0.2%. tuwaoe wake gani? mama wa nyumbani shida, wafanya biashara napo mh! wafanyakazi ndo hao..

Kazi kwenu mliopo kwny ndoa.....

inawezekana haswaa shetani akiamua lake....mbona watu povu linawatoka hasa mlio oa lol..mwenzenu katoa hisia zake kwa aliyoona u may take or leave it !!!
 
Thread za kizushi utazijua tu...kuna ofisi zinabana watumishi kama za private...mpaka mpate masaa mawili ya kuwalala wake za watu?...kama mekosa wa kuoa acheni kukashifu ndoa za watu...
ofisi zinatofautiana bana, ila huo ndo ukweli
 
Hakuna kitu kama hicho. Kampuni gani binafsi wanamuda wa kupoteza hivyo. Mapenzi gani ya one hour. Hata kama watu wanachepuka siyo kihivyo. Usiwaogopeshe watu

ukweli utabaki pale pale!
 
muombe mungu akupe mke wa kufanana na wewe. ukiomba kwa kumaananisha na kuamini mungu wetu ni mwaminifu atakupa mke mwema.

wakati wakumuomba mungu mke mwema kumbuka nae anatakiwa kuwa mume mwema,mke mwaminifu nae pia awe mwaminifu.
 
Mi nakushauri uoe mwalimu, mwalimu hanaga lunch time muda wa lunch ye yupo nyumbani na familia....kwi kwi kwi promo at work!!!!
 
huwezi mlinganisha baba yako na kizazi cha sasa you are lost!

Ogopeni naona mnaongezeka....

Ulishawahi kujichunguza we mwenyewe unatabia zipi?

Unadhani iliposemwa waacheni wafu wawazike wafu wenzao unaelewa nini?

Mtoto wa kiume uogope kuoa kisa, kuna watu wanamapepo yao ya ngono...Kama hivyo ndivyo, anzisheni chama cha waogopa kuoa kisa uaminifu haupo.

Inawezekana nimepotea kweli, ila niambie hivi visa vimeanza lini? Labda zamani yako niya kabla ya dunia kuwepo.
 
Wadau, binafsi sijaoa si
kwamba sipendi; napenda sana ila kila nikilifikiria napata kigugumizi
kulichukulia hatua.

Nafanya kaz kwy tasisi binafsi, jambo moja huwa linaniumiza sana kwa mda
mrefu & now its too much, hapa kazini wanawake walio olewa tena na
pete zao vidoleni plus watoto, wanashindwa kujali heshima walionayo,
wao ndo wanatoka na vijana mida ya nchana kwnda guest na kuwasaliti
waume zao. Hii ni sample I hop km hapa ipo basi hata ofisi nyingine
IPO...

Bad enough wanaotoka nao wanawafanya vibaya hadi kinyume na maumbile.
Tena ghalama wanalipa wasaliti wenyewe. Waume zao wanajua wapo kazin
jioni wanarudi kimyaaa, mme anajua nimempata mke, du kumbe hamna kitu.
mbaya zaidi hata kinga hawatumii....

Laiti km waume wangekuwa wanawanyemelea wake zao wanavyo behave wawapo
kazini ndoa zingeisha walai!

Hakuna hata matumaini km huu usaliti utakuja isha, mliokwisha oa
msiwaamini wake zenu labda kwa 0.2%. tuwaoe wake gani? mama wa nyumbani
shida, wafanya biashara napo mh! wafanyakazi ndo hao..

Kazi kwenu mliopo kwny ndoa.....

we baki single. karibu kwenye chama
 
Back
Top Bottom