Siwezi kuoa kwa hali hii

Siwezi kuoa kwa hali hii

inawezekana haswaa shetani akiamua lake....mbona watu povu linawatoka hasa mlio oa lol..mwenzenu katoa hisia zake kwa aliyoona u may take or leave it !!!

Sijui kama umewahi kuchunguza nguvu ya mawasiliano, hasa internet inavyo weza kutumika kuharibu mind set.

Kuku maji mmoja kaokota kihadithi kisicho na mashiko anataka kuaminisha umma ndoa zote zionekane uozo. Sikatai kwamba kuna maovu yanayofanywa katika ndoa. Lakini umefanya study kabla huja-distribute information yako? Idadi ikoje? Ni uchunguzi wa Dar pekee? Unafahamu idadi ya ndoa zilizopo? Zilizo vunjika je? Sababu ni hii?

Kuku wa namna hii usipo waambia wanaumiza wengine hali wao wameoa au kuolewa au wako kwenye michakato na maisha yanaendelea. Sipendi kuona mtu anaharibu akili za vijana kirahisi rahisi hivi.
 
Wadau, binafsi sijaoa si kwamba sipendi; napenda sana ila kila nikilifikiria napata kigugumizi kulichukulia hatua.

Nafanya kaz kwy tasisi binafsi, jambo moja huwa linaniumiza sana kwa mda mrefu & now its too much, hapa kazini wanawake walio olewa tena na pete zao vidoleni plus watoto, wanashindwa kujali heshima walionayo, wao ndo wanatoka na vijana mida ya nchana kwnda guest na kuwasaliti waume zao. Hii ni sample I hop km hapa ipo basi hata ofisi nyingine IPO...

Bad enough wanaotoka nao wanawafanya vibaya hadi kinyume na maumbile. Tena ghalama wanalipa wasaliti wenyewe. Waume zao wanajua wapo kazin jioni wanarudi kimyaaa, mme anajua nimempata mke, du kumbe hamna kitu. mbaya zaidi hata kinga hawatumii....

Laiti km waume wangekuwa wanawanyemelea wake zao wanavyo behave wawapo kazini ndoa zingeisha walai!

Hakuna hata matumaini km huu usaliti utakuja isha, mliokwisha oa msiwaamini wake zenu labda kwa 0.2%. tuwaoe wake gani? mama wa nyumbani shida, wafanya biashara napo mh! wafanyakazi ndo hao..

Kazi kwenu mliopo kwny ndoa.....

una ushahidi wowote wa picha au video?
 
Mm binafs naamini kuna vitu vikuu vitatu au vinne vinavyomfanya mtu achepuke....
1.Ni tabia yake
2.Tamaa
3.Haridhishwi na mtu alienae kimapenzi
4.Kuoa/kuolewa na mtu ambae si chaguo lako kwa kulazimishwa au laaah.

Na hii si kwa alieolewa na kuoa tu ..,hapana hii inajumuisha watu wote waliokidhi vigezo vya kushiriki tendo hilo
 
Mleta mada kama haujatulia hivi!!!!!!! unasema hautaki kuoa,usiamini kila usikialo na uambiwalo na wenzio,wengine ni sifa tu anataka aonekane kuwa anatoka na demu mkali kumbe wapi,tunawaona mitaani.Halafu mwanaume haogopi kwa upande wangu nawaamini sana wanaume sijui wewe
 
Kuku maji mmoja kaokota kihadithi kisicho na mashiko anataka kuaminisha yanayofanywa katika ndoa.

Kuku wa namna hii usipo waambia wanaumiza wengine hali wao wameoa au kuolewa au wako kwenye michakato na maisha yanaendelea. Sipendi kuona mtu anaharibu akili za vijana kirahisi rahisi hivi.

Kuku????
 
acha kuchunguza maisha ya wengine tengeneza yakwako.
afu najiuliza umejuaje wanafanywa kinyume na maumbie au hawatumii kinga au nawewe ulishajipatia mojawapo
 
acha kuchunguza maisha ya wengine tengeneza yakwako.
afu najiuliza umejuaje wanafanywa kinyume na maumbie au hawatumii kinga au nawewe ulishajipatia mojawapo

si kuchunguza mkuu, kama yapo yapo tu...
 
Hakuna kitu kama hicho. Kampuni gani binafsi wanamuda wa kupoteza hivyo. Mapenzi gani ya one hour. Hata kama watu wanachepuka siyo kihivyo. Usiwaogopeshe watu

ur really Great thinker,hii story ni ya kutunga,hivi inakuaje mtu anapata muda wa kutunga story nakuiweka hapa,what his intention,anyway sifanyi kazi private na sijaoa lakini hii story ina walakini.
 
Back
Top Bottom